Mangi Leo miruko wapiYou fall somebody humjui kama ni jilimwanaume la ovyo π π π π
Kimsamiati wa Kingereza, hivyo ulivyoandika kwenye heading ya huu uzi maana yake humpendi huyo mtu.Hi ni mara ya pili nimenasa kwake ila bado hajanipa majibu ila nimerudi kwa mara nyingine ili ajue Kama nilimpenda sana. Ila Kama haiwezekani basi
PyeeeeeeHapo umebugi mkuu!
πππ Anakimbia kununua AbayaSiku nyngn mpange mapema sio idd kesho ww Leo ndo unaanza harakati usiku
πYou fall somebody humjui kama ni jilimwanaume la ovyo π π π π
HahahahahaHuyu mshkaji wako anajizima data,Mtu keshapewa za uso kitambo bado anang'ang'ana mpaka aliwe nauli ndio aje alielie humu
ππππ Oya unazinguaHuyu mshkaji wako anajizima data,Mtu keshapewa za uso kitambo bado anang'ang'ana mpaka aliwe nauli ndio aje alielie humu
K bana au humpendi πYupi huyo ebu fungua codes hata kwa herufi ya kwanzaπ
Jibabu la haja lenye bus*a lake πππUliwahi kumuona live, kama je ni mwanamme au mbibi!
Abaya ni vazi liko overrated sana, mbn zipo nguo kibao tu unaweza vaaa ukawaka kinoma!πππ Anakimbia kununua Abaya
Ana kua side nigah, matatizo madogomadogo ana solve.Mi mke wa mtu, siwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja
Leo eid bana Abaya ndio mwakeβ¦!!Abaya ni vazi liko overrated sana, mbn zipo nguo kibao tu unaweza vaaa ukawaka kinoma!
Wifi mwaliko wa pilau mbona umeubania??Nyieeee IDD MUBARAKπ
Anachangamsha kijiwe wala hayuko serious mwenzenuAna kua side nigah, matatizo madogomadogo ana solve.