I Love you too much Lamomy

Wa huko vijijini ndani ndani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🀣🀣🀣🀣🀣 udugu vijiji gani treeenah!!!
Em niache kwanza mbavu zinauma, kuna mishangazi mpk ya bush?!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ udugu humu tumevamiwa na warembo wa insta, halafu kumbe kinamuuma tunavyochat na linatujua vzr sijui li nani??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu humu tumevamiwa na warembo wa insta, halafu kumbe kinamuuma tunavyochat na linatujua vzr sijui li nani??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] toleo jipya humu ni wengi, tatizo hawajikubaliii, wanataka mauzo kupitia kismati cha wenzao.

Uduguu kwann lakiniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Easy and breathe Bro
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] half cast koko, leo bata wapiii?
Au Hong Kong ya geza ulole kwa baba zako wadogo?
πŸ˜‚ niache tafadhali si mmeninyima mialiko. Jf Members wazuri na mnakomenti vizuri lakini wachoyo acha nicheki uefa.
 
Mwenzio kanichekesha hapo juu mpk watu wananishangaa nilivyocheka kwa sauti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Udugu kachachuka leo
kwahiyo mi toto ya mchina wa yap markez πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dah jirani utanikosa nikifa πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…