[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu leo barca na PSG wotee fungu la kukosaa, game haina maajabu.[emoji23] niache tafadhali si mmeninyima mialiko. Jf Members wazuri na mnakomenti vizuri lakini wachoyo acha nicheki uefa.
si kikubwa tuangalie mpira sio mafungu π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu leo barca na PSG wotee fungu la kukosaa, game haina maajabu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em huko, nilale mie.Mwenzio kanichekesha hapo juu mpk watu wananishangaa nilivyocheka kwa sauti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Udugu kachachuka leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tokaa hapa, nenda Guangzhou ya kinondoni manyanya kwa babu zako ukasalimie huko.si kikubwa tuangalie mpira sio mafungu [emoji23]
Halafu hawajifichi toleo jipya, sasa mwanaume mzima unajisifia mambo ya insta kweli?? Mi nilijua litasema linamiliki kampuni kadhaa nishtuke!! Kumbe anamiliki acc ya insta ya kujibrand alivyo mrembo π€£π€£π€£π€£πββοΈ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] toleo jipya humu ni wengi, tatizo hawajikubaliii, wanataka mauzo kupitia kismati cha wenzao.
Uduguu kwann lakiniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π sipajui kama unawajua ndugu zangu nipelekeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tokaa hapa, nenda Guangzhou ya kinondoni manyanya kwa babu zako ukasalimie huko.
UEFA inakuhusu wee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu taratibuuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu hufai aiseee!! Yani tuliyoongea yote yameingia huku yametokea kule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani toleo jipya wanafoc mauzoo mnoo. Sijui kwann hata.Chapati tunalo humu humu usiondoke udugu tumchachue mifungo yote ishaisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushabadilisha sio ww tena ndio mzuri insta wanakukula??!! Ww ujue utakosa wachati kwa nyodo zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo iko kinge chako cha kujitongozeshea insta ndio unaona umetooka mwenyewe!! Mnajidanganya sana ww na wangese wenzio.
Sasa sikia kuna wachati wawili wamejitokeza unaondoka na yupi?? Au wote unawamudu wakupandie dau mrembo wa insta??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF bhana, full manjegekaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila umejua kunichekesha leo
Kwani bro huyu mrembo wa insta umemtoa wapi?? Anatufokea km sisi ndio tulimkopa khaaaa!!!
Ww ushaanza kumpenda mzigua lione [emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ best ulikuwa wapi leo?? Kuna uzi wako uko kuna raia kajivika mabomu anaiomba km anaimba reggaeMie Tena jamani? [emoji23][emoji23][emoji23]
πππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha ukorofi
Heart imependa anatafuta bwana kinguvu.Kwani bro huyu mrembo wa insta umemtoa wapi?? Anatufokea km sisi ndio tulimkopa khaaaa!!!
Ah wapi.. hayo ya vijana, mm na age hii siwez kuwa na hizo. Although, sijakuwa attentive sana na kufatilia fatilia au kupenda kudet na wanawake wengi.
Yani kwa ufupi mm ni husband material [emoji28]
Bando kakaIshu kunielewa au ishu ni bando? πππ
πππππ Daaah coca ananianzaga tuu bila sababu...Coca kasema bajeti yako ya mwezi eti πππ
Sasa ww unamuitaje demu na hata pesa ya nauli huna jamani
Wacha wee, sasa sisy unaonaje Jack akiwa shemeji yangu [emoji12]
Mnapendezana kuliko kizee chako cha hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]