I Love you too much Lamomy

I Love you too much Lamomy

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] toleo jipya humu ni wengi, tatizo hawajikubaliii, wanataka mauzo kupitia kismati cha wenzao.

Uduguu kwann lakiniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu hawajifichi toleo jipya, sasa mwanaume mzima unajisifia mambo ya insta kweli?? Mi nilijua litasema linamiliki kampuni kadhaa nishtuke!! Kumbe anamiliki acc ya insta ya kujibrand alivyo mrembo 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️
 
Chapati tunalo humu humu usiondoke udugu tumchachue mifungo yote ishaisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani toleo jipya wanafoc mauzoo mnoo. Sijui kwann hata.
 
Ushabadilisha sio ww tena ndio mzuri insta wanakukula??!! Ww ujue utakosa wachati kwa nyodo zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo iko kinge chako cha kujitongozeshea insta ndio unaona umetooka mwenyewe!! Mnajidanganya sana ww na wangese wenzio.

Sasa sikia kuna wachati wawili wamejitokeza unaondoka na yupi?? Au wote unawamudu wakupandie dau mrembo wa insta??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila umejua kunichekesha leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF bhana, full manjegekaaa.
Unabakii kusema "hiii", kwa sauti ya JPM, lol
 
Back
Top Bottom