Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Kama kweli anakupenda akununulie Abaya,Hata hatujuani mwaya kaka yangu, mi nnachojua hizi ni chit chat
Si hata wifi anayo unaonaje ukimpa ampeeThat sweet thang nestled between the thighs
ππππ La kuswalia eid?? Hatari sana, huyo alishaniambia atanipa ngβombe abaya kwake kitu kidogo sanaβa. Tajiri wa usukumani huyoKama kweli anakupenda akununulie Abaya,
Umeanza ukorofi, sasa ya wifi yako ndio ya lamomy?Si hata wifi anayo unaonaje ukimpa ampee
Kumbe mmeanzia mbali ngoja niwaacheππππ La kuswalia eid?? Hatari sana, huyo alishaniambia atanipa ngβombe abaya kwake kitu kidogo sanaβa. Tajiri wa usukumani huyo
Nimeumia sana mtu kumtaka mpenz wangu Lamomy ππAkikujibu nitag bro maswali mazuri sana umemuuliza..!!
Nitakutukana hebu niacheUmeanza ukorofi, sasa ya wifi yako ndio ya lamomy?
Alisema kwenye uzi wake wa kwanza, ndiomana nakwambia ukimtajia Abaya hashindwi!! πKumbe mmeanzia mbali ngoja niwaache
Ctakiiii, tunataka ndoa, wee huogopiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu hebu tulia kwanza
Jirani mie wako muda mrefu tuu mbonaπ. Au mpaka unizalie mapacha.Toka lini??!! Mbona ghafla sanaβa?!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sema kweli.Alibakwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tukana tu ,wifi yako atafika hapo akutwange makofi.Nitakutukana hebu niache
Basi msukuma kajipanga,anachofeli kuandika bango,Ila si anakuvutia vutiaAlisema kwenye uzi wake wa kwanza, ndiomana nakwambia ukimtajia Abaya hashindwi!! π
πππ Ndoa za JF sizitaki udugu, ni mapicha picha na kusalitiana tyuuu!!Ctakiiii, tunataka ndoa, wee huogopiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππ aaa wapi ebu njoo hapa kwenye hiki kibanda kimeandikwa toroka uje, upate juisi ya machungwaπππ ww umeshaliwa nauli tayari??
Una mapepo sio bure, mimi nna bwana wangu. Anaitwa Bwana wa MajeshiJirani mie wako muda mrefu tuu mbonaπ. Au mpaka unizalie mapacha.
Thubutuu!! Ww na yy wote mtasimulia kichapo nitakachowapaTukana tu ,wifi yako atafika hapo akutwange makofi.
Anivutie hata namjua?? Mi mke wa mtu mume wangu yupo Korea kikaziBasi msukuma kajipanga,anachofeli kuandika bango,Ila si anakuvutia vutia