I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 804
- 1,362
Hakunaga mapenzi ndani ya JF. Upo tayari kureveal your Identity kisa mwanamke?? Moyo laini sana huo kwa mtoto wa kiume na udhaifu mkubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo hapo sasa
We muache 😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Mpaka anyonywe damu ndio atatulia
Yaani nikiona mtu anakuletea za kuleta,ananikera Sanaaa😅😅Sisy Joa mtu wa maana sana😂
Akichat Lamomy, Gily na Joannah wanapotea. Akija Joannah, Lamomy na Gily wanapotea.....huyu ni mtu mmoja 😅😅😅 Unique FlowerNa ww unamsikiliza Analyse 😂😂😂
Ww kwa akili zako unaamini mimi naweza kuwa Joannah na Gil??
Huyo anachangamsha uzi
Kabisaa analia lia sana’a 😂😂😂Hatuwezi kumfundisha kila kitu
Acha wivu!Hata kama, sio that easy Jf, kwann asimfwate pm mpk aanzishe uzi? Huoni hiyo ni kama addiction?
😂😂😂😂 Acha kumchanganya da mau mwenzio katoka kupona juzi watu walimrogaAkichat Lamomy, Gily na Joannah wanapotea. Akija Joannah, Lamomy na Gily wanapotea.....huyu ni mtu mmoja 😅😅😅 Unique Flower
😂Yaani nikiona mtu anakuletea za kuleta,ananikera Sanaaa😅😅
Mshauri, Hashki ni jambo baya sana hakikisha unakua mwepesi muda wote itakusaidia kuondokana na shobo, kudharirika na kupigwa mizinga hovyo.Ngoja limnyonye shahawa ndio atulie😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijapenda yani hapo ndo kamaliza na anategemea umuelewe.
Sikukuu ameshindwa hata kuuliza bata na soda alete wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]