Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni kama jamaa tyr kafall, hata kama sio serious it's a waste of time, energy and effort. Hatujuani humu ukute jamaa anawaza seriously for a fake IDUnaya overate sana maisha,hayako serious hivyo😄
Bonge la bwana JF?? 😂😂😂
Bibi yupi tena??Unampenda mdogo wangu au unataka umlambe tu kwa bibi ?
Nimeambiwa tu tuende naye kwa makini tusitolewe kafara so naenda kwa utaratibu nisitolewe.kafara nimepona juzi .Nisaidie ww kumjibu da mau
Da mau ntakuchapa mi niko koromije namanga nimefika lini??Huyu mtoa mada sindio alimtoa out namanga?? Jokes
Hata kama, sio that easy Jf, kwann asimfwate pm mpk aanzishe uzi? Huoni hiyo ni kama addiction?Acha uharibifu inachukua muda kumpata mpenzi wako wa kweli
Akikujibu nitag bro maswali mazuri sana umemuuliza..!!Unamjua personal??
Umempendea Nini??
Why umemfata hadharani??
Umezingatia her privacy??
Una uhakika Hana mume/boyfriend/girlfriend??
Gily hivi babu karudi kweli umu?Hahaha [emoji38]
Anashida gani???Zote hizo ni account za Gily Gru
Hata kama, sio that easy Jf, kwann asimfwate pm mpk aanzishe uzi? Huoni hiyo ni kama addiction?
Ilo ni dumeAnashida gani???