RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Hongera mke wa mtu. πAnivutie hata namjua?? Mi mke wa mtu mume wangu yupo Korea kikazi
Ninywe juisi ya machungwa umeambiwa nna ukosefu wa vitamin C π€£π€£π€£πππ aaa wapi ebu njoo hapa kwenye hiki kibanda kimeandikwa toroka uje, upate juisi ya machungwa
Asante jirani, unamjua sema unajitoa ufahamu tyuuu!! πππHongera mke wa mtu. π
Jirani mbona kama yanatoka moyoni haya.ππππ Ndoa za JF sizitaki udugu, ni mapicha picha na kusalitiana tyuuu!!
Utasikia mara kawapanga km msafara wa siafu, sitaki km ya sele
Umeshinda cha ukorofi.Thubutuu!! Ww na yy wote mtasimulia kichapo nitakachowapa
Ninywe juisi ya machungwa umeambiwa nna ukosefu wa vitamin C π€£π€£π€£
Tell them ukikoswa kwenye maradhi unachunwa ubaki kama kuku asie na mkiaGuys don't fall for someone you see on social media.
Mengine yanatokaga wapi??Jirani mbona kama yanatoka moyoni haya.π
Mengine ninguvu ya mezaaπMengine yanatokaga wapi??
Natamani tuongee wawili wengine wasi commentMengine yanatokaga wapi??
Funga mlango ππππNatamani tuongee wawili wengine wasi comment
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndoa za JF sizitaki udugu, ni mapicha picha na kusalitiana tyuuu!!
Utasikia mara kawapanga km msafara wa siafu, sitaki km ya sele
Kula chuma hicho jirani yangu.Jirani πππ
Hello from kigomaπ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu sele ana balaa lake mjini JF, UTI sugu na Ukimwi, na GONO sio shida zako kabisaaa.
ππππ Hatareee!! Hivi walianza dose?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguu sele ana balaa lake mjini JF, UTI sugu na Ukimwi, na GONO sio shida zako kabisaaa.
We kuweza??Kula chuma hicho jirani yangu.