Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Can't inamaanisha hauwezi yaani hauna ujuzi...., Won't ni kwamba ingawa unaweza ila haufanyi...Won't ??! I just can't do it.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can't inamaanisha hauwezi yaani hauna ujuzi...., Won't ni kwamba ingawa unaweza ila haufanyi...Won't ??! I just can't do it.
College au university gani?
Mbuzibee 🐐
Miami,Tampa, Jacksonville umesema st thomas florida. City ipi?Mtakatifu Leo pale Florida
Usa yote is my
Mbuzibee 🐐
Nifuate na mimi inboboMkuu nitakufuata PM nataka faraga...
Mimi nilisoma Malaysia,.Mimi nilisoma Marekani.
Kissimmee, Florida pako country sana mzee hapo hata kuku wa kispanish sijui kama wanapatikana hapo? Nilikwenda kuna kisiwa kinaitwa Marco island patamu sana na Boca Raton hapo Orlando na Kissimmee sijapapenda sana.Kissimmee hapa Orlando
University ipi Kati ya hizo:-Mimi nilisoma Malaysia,.
Mhh Marekani chuo gani?Mimi nilisoma Marekani.
Hujaeleweka huwezi kwa maana,hauna mbinu,au hujui jinsi ya kufanya?au uwezo unao lakini misingi ya imani yako inakuzuia?Nimeanza kwa umombo kwa title hapo juu. Nina degree ya uhandisi katika hii fani pendwa....
Nilikuwa mtu wa Mungu Sana wakati napiga security. Sasa katika eneo la ku compromise Akaunti za watu niliona natenda Dhambi.
Nawaza sana watu wanaodukuana.
Mimi sinauwezo wa kuhack hata Akaunti ya facebook. Achilia mbali kusoma message za watu kwenye simu zao.
Kubwa zaidi ni security ya mitandao hapa Tz iko unsecured 50++ percentage...
Nije na kaushauri...someni sana security maana ulinzi ni uhai..
Hacking ni utundu wa Programming, na wote hapo wanasoma hiyo. Kwa hiyo usimbeze mtoa mada.Mleta mada kama wazazi ndio walikusonesha pesa zimepotea bure kama ni serikali ilikusomesha pesa zimepitea bure kazi ya ku hack sio ya computer engineer ni ya Software Engineer yaani unatia hadi huruma hujui hata tofauti ya Computer Engineer na Software Engineer very sad .
Yaani wewe ni mjinga hadi basi degree yako unatakiwa kunyanganywa
Wewe na degree yako umejifunza basic aka fundmental skills only chuonii. Hayo mambo ya hacking ni ya extra inabidi ujifunze mwenyewe kwa efforts zako. Ulitegemea ungekuwa nguli wa kilka kitu baada ya kuhitimu bachelor degree?Nimeanza kwa umombo kwa title hapo juu. Nina degree ya uhandisi katika hii fani pendwa....
Nilikuwa mtu wa Mungu Sana wakati napiga security. Sasa katika eneo la ku compromise Akaunti za watu niliona natenda Dhambi.
Nawaza sana watu wanaodukuana.
Mimi sinauwezo wa kuhack hata Akaunti ya facebook. Achilia mbali kusoma message za watu kwenye simu zao.
Kubwa zaidi ni security ya mitandao hapa Tz iko unsecured 50++ percentage...
Nije na kaushauri...someni sana security maana ulinzi ni uhai..
Maana hakuna jinsi wacha Tu tuokotane[emoji1787][emoji1787]Mimi nilisoma Malaysia,.