I m a computer Engineer but I can't even hack a facebook account

I m a computer Engineer but I can't even hack a facebook account

Computer & Information Security ni specialized field, sio kila aliyesoma Computer Engineering atabobea huko.
 
Hacking ni more of software engineering...siyo kucheza na motherboard
 
Huu uzi kuna mtu atapigwa
Wambea wapo nani anampiga nani

Screenshot_20210403-154308.png
 
Kissimmee hapa Orlando
Kissimmee, Florida pako country sana mzee hapo hata kuku wa kispanish sijui kama wanapatikana hapo? Nilikwenda kuna kisiwa kinaitwa Marco island patamu sana na Boca Raton hapo Orlando na Kissimmee sijapapenda sana.


Mbuzibee 🐐
 
Mimi nilisoma Malaysia,.
University ipi Kati ya hizo:-
Universiti Malaya (UM) Universiti Kebangsaan Malaysia (UKM) Universiti Putra Malaysia (UPM) Universiti Sains Malaysia (USM) Universiti Teknologi Malaysia


Mbuzibee 🐐
 
Mleta mada kama wazazi ndio walikusonesha pesa zimepotea bure kama ni serikali ilikusomesha pesa zimepitea bure kazi ya ku hack sio ya computer engineer ni ya Software Engineer yaani unatia hadi huruma hujui hata tofauti ya Computer Engineer na Software Engineer very sad .

Yaani wewe ni mjinga hadi basi degree yako unatakiwa kunyanganywa
 
Nimeanza kwa umombo kwa title hapo juu. Nina degree ya uhandisi katika hii fani pendwa....

Nilikuwa mtu wa Mungu Sana wakati napiga security. Sasa katika eneo la ku compromise Akaunti za watu niliona natenda Dhambi.

Nawaza sana watu wanaodukuana.
Mimi sinauwezo wa kuhack hata Akaunti ya facebook. Achilia mbali kusoma message za watu kwenye simu zao.

Kubwa zaidi ni security ya mitandao hapa Tz iko unsecured 50++ percentage...

Nije na kaushauri...someni sana security maana ulinzi ni uhai..
Hujaeleweka huwezi kwa maana,hauna mbinu,au hujui jinsi ya kufanya?au uwezo unao lakini misingi ya imani yako inakuzuia?
 
Mleta mada kama wazazi ndio walikusonesha pesa zimepotea bure kama ni serikali ilikusomesha pesa zimepitea bure kazi ya ku hack sio ya computer engineer ni ya Software Engineer yaani unatia hadi huruma hujui hata tofauti ya Computer Engineer na Software Engineer very sad .

Yaani wewe ni mjinga hadi basi degree yako unatakiwa kunyanganywa
Hacking ni utundu wa Programming, na wote hapo wanasoma hiyo. Kwa hiyo usimbeze mtoa mada.
 
Nimeanza kwa umombo kwa title hapo juu. Nina degree ya uhandisi katika hii fani pendwa....

Nilikuwa mtu wa Mungu Sana wakati napiga security. Sasa katika eneo la ku compromise Akaunti za watu niliona natenda Dhambi.

Nawaza sana watu wanaodukuana.
Mimi sinauwezo wa kuhack hata Akaunti ya facebook. Achilia mbali kusoma message za watu kwenye simu zao.

Kubwa zaidi ni security ya mitandao hapa Tz iko unsecured 50++ percentage...

Nije na kaushauri...someni sana security maana ulinzi ni uhai..
Wewe na degree yako umejifunza basic aka fundmental skills only chuonii. Hayo mambo ya hacking ni ya extra inabidi ujifunze mwenyewe kwa efforts zako. Ulitegemea ungekuwa nguli wa kilka kitu baada ya kuhitimu bachelor degree?
 
Back
Top Bottom