I,m looking wife, especially from uchagani,ikiwa machame ni nzr zaid

I,m looking wife, especially from uchagani,ikiwa machame ni nzr zaid

Jestina..kwani wewe ni wa machame?...huyu jamaa ameshajipanga...ngombe wa maziwa nadhan amenunua..kabati la...na ile toyota....hahaha...joking banaa...

basi kuna wanazi watakaokuja na wamachame this and that blah blah,mshindwe.
 
Very intersting. Kijana unasema akiwa mmachame itakuwa nzuri zaidi. Unayo Tembocardmastercard?
<br />
<br />
KALABASHI mwenge,, ,kwanza nimependa iyo,, mdau Tembocardmastercard-mhh iyo sina Ila GX 100 ya ukweli.
 
Hapa JF umepatia kabisa! Watoto wa kimachame wapi kibao!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
shiishi kimashami den! Ewe keny nkwi?
<br />
<br />
SABRY, shanfura den,kyen nyi Nkuu, ndoo en, nkaa Daasilamu ,ewe kuifo kukaa, kukee fcb??
 
Jamani niko seriuose,i want to intr ma cv kabla ya yote,kishule nimeishia form four, ila ni mwajiriwa srkln, ma age is 30 yrs,ninayemtaka asivuke 28,elimu form four na kuendelea, na awe na mawazo ya maendeleo,ila na awe tayari kup endwa, nawasilisha wakuu.
<br />
<br />
Nsawasawa siishi kimashami lakinile nsawasawa tu
 
Kila la heri baba... Nasikia wanaua waume zao lakini...
 
Mkuu hebu tupe sababu, kwa nini mmachame tu?
 
Ukipata na mm nitapost req manake na mm natafuta mke, cv bado inapikwa
 
ukakuta...... jamaa ndo ivo tena kamwaga kuku kwenye mchele mwing cjui nana atakula mwenzake kuku au mchele.
wish u al da best broo.
 
Back
Top Bottom