wasanii wa bongo sifa kibao ila njaa tupuHuwa wanaenda kuburudisha kwenye familia za watu,
kwa mfano wewe una kipaimara cha mtoto wako unampigia sim,anakuja fasta hata bila kuuliza malipo yatakuwaje.
Kama ulishaujua Skelewu inamaana kadiri ungesikiliza ungefight kumjua aliyeimba hata number one remix isingetoka. Ila ungesema umemsikia kwanza Davido then ukaisikia skelewu hapo ungesema Fiamond kakufanya umjue Davido then ukatafuta nyimbo za Davido ila kama ulishasikia nyimbo zake basi jua davido alishakuwa famous before.
Baada ya kuwaangalia hawa wasanii wote wawili kwenye nyimbo kimataifa Davido ni mkali kuliko Diamond. Aye na Skelewu zimetulia sana. Diamond bado hajatoa vitu vilivyotulia kama hivyo.
Ila kwenye show za jukwaani sasa. Davido hamna kitu. Hajui kucheza, na hajui kupanga wachezaji. Diamond amejipanga sana kwa kutawala jukwaa. Yeye mwenyewe yuko fiti na kundi lake la wanenguaji liko fiti.
Na kwa mtu kama mtu Diamond ana six pack, Davido hana. Kwa hiyo ikifikia ile steji ya kuvua shati ni Diamond tu anayewezaga kuvua. Davido sijawahi kumuona akivua shati.
six pack nayo ni ishu?
Aliyeimba Azonto ni mGhana anaitwa Fusedog, kaimba na wimbo wa Antenna. Kuna Iyanya yule aliyeimba Kukere pia ni wa Ghana, inshort Waghana wanajua kuimba ila Wanigeria wanajua kujitangaza sana kama ilivyo Bongo watanzania wengi wanajua ila Wakenya wanajipa sana promo nakufanya waonekane wanajua kumbe nothing....
Hivi kweli umaarufu wa Davido ni wa kufananisha na Diamond?
maajabu haya jamani ki ukweli ni kwamba davido ndie kamtoa monds, davido yupo juu sana kimuziki another level na mond bado mchanga sana anaitaji sana support ya kina davido hili ajulikane zaidi. davido ni sawa na tyson na monds ni sawa na matumla sasa wapi na wapi jamani,naona monds aende walau kwa kiba akapate more training, haya masifa ya kitoto hayasaidii.
Jamani mie mbona sioni issue kwenye hiyo statement .Nadhania no valid statement hasa hapo anamposema " that made him very popular in my country as well" anakubali he was popular but single ile ilisaidia Davido kuwa popular "zaidi" Tanzania, and also Diamond kakubali kwamba alimtumia Davido kupenetrate West Africa . Nadhani kichwa cha habari kimeblow out of proportional habari labdaShortly after, he released Aye and that made him very popular in my country as well. They love the song in my country. I featured Davido on the track because I wanted to launch myself into the West African market and he was the best person for the job. I used Davido to break into the West African market, the Tanzanian singer said further.
Hata mie nimeshindwa hata kushangaa...