''I made Davido Popular'' - Tanzanian Music Star, Diamond Boasts

''I made Davido Popular'' - Tanzanian Music Star, Diamond Boasts

Huwa wanaenda kuburudisha kwenye familia za watu,
kwa mfano wewe una kipaimara cha mtoto wako unampigia sim,anakuja fasta hata bila kuuliza malipo yatakuwaje.
wasanii wa bongo sifa kibao ila njaa tupu
 
Kama ulishaujua Skelewu inamaana kadiri ungesikiliza ungefight kumjua aliyeimba hata number one remix isingetoka. Ila ungesema umemsikia kwanza Davido then ukaisikia skelewu hapo ungesema Fiamond kakufanya umjue Davido then ukatafuta nyimbo za Davido ila kama ulishasikia nyimbo zake basi jua davido alishakuwa famous before.

Hahahahaaa qn of sheba utampasua jamaa kwa hiyo hoja unayompa. Ni wazi kwamba kichwa chake hakiwezi kuimeza.
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kuwaangalia hawa wasanii wote wawili kwenye nyimbo kimataifa Davido ni mkali kuliko Diamond. Aye na Skelewu zimetulia sana. Diamond bado hajatoa vitu vilivyotulia kama hivyo.

Ila kwenye show za jukwaani sasa. Davido hamna kitu. Hajui kucheza, na hajui kupanga wachezaji. Diamond amejipanga sana kwa kutawala jukwaa. Yeye mwenyewe yuko fiti na kundi lake la wanenguaji liko fiti.

Na kwa mtu kama mtu Diamond ana six pack, Davido hana. Kwa hiyo ikifikia ile steji ya kuvua shati ni Diamond tu anayewezaga kuvua. Davido sijawahi kumuona akivua shati.
 
Sasa videsa vinaandaliwa.By the way Diamond hajampa Davido umaarufu tz.
 
Baada ya kuwaangalia hawa wasanii wote wawili kwenye nyimbo kimataifa Davido ni mkali kuliko Diamond. Aye na Skelewu zimetulia sana. Diamond bado hajatoa vitu vilivyotulia kama hivyo.

Ila kwenye show za jukwaani sasa. Davido hamna kitu. Hajui kucheza, na hajui kupanga wachezaji. Diamond amejipanga sana kwa kutawala jukwaa. Yeye mwenyewe yuko fiti na kundi lake la wanenguaji liko fiti.

Na kwa mtu kama mtu Diamond ana six pack, Davido hana. Kwa hiyo ikifikia ile steji ya kuvua shati ni Diamond tu anayewezaga kuvua. Davido sijawahi kumuona akivua shati.

six pack nayo ni ishu?
 
Kama Diamond alisema hvyo basi alikosa adabu sana
 
Aliyeimba Azonto ni mGhana anaitwa Fusedog, kaimba na wimbo wa Antenna. Kuna Iyanya yule aliyeimba Kukere pia ni wa Ghana, inshort Waghana wanajua kuimba ila Wanigeria wanajua kujitangaza sana kama ilivyo Bongo watanzania wengi wanajua ila Wakenya wanajipa sana promo nakufanya waonekane wanajua kumbe nothing....

I think Tanzania tuna style yetu na vionjo na of course talent katika staili mahususi; mfano wakenya hawezi rap music huku kwetu tunajua hardcore to hip hop. Watz ila hawajui R&B music kama wakenya. Hatuwezi kusema fulani hajui kitu flani wkati hatuchekani. Naona ni vizuri kujifunza kutoka kwa kila mmoja wetu bila kuweka tofauti zetu za kikabila na rangi.
 
maajabu haya jamani ki ukweli ni kwamba davido ndie kamtoa monds, davido yupo juu sana kimuziki another level na mond bado mchanga sana anaitaji sana support ya kina davido hili ajulikane zaidi. davido ni sawa na tyson na monds ni sawa na matumla sasa wapi na wapi jamani,naona monds aende walau kwa kiba akapate more training, haya masifa ya kitoto hayasaidii.
 
maajabu haya jamani ki ukweli ni kwamba davido ndie kamtoa monds, davido yupo juu sana kimuziki another level na mond bado mchanga sana anaitaji sana support ya kina davido hili ajulikane zaidi. davido ni sawa na tyson na monds ni sawa na matumla sasa wapi na wapi jamani,naona monds aende walau kwa kiba akapate more training, haya masifa ya kitoto hayasaidii.

ali kiba ni sawa na maiti inayotembea katika muziki
 
“Shortly after, he released Aye and that made him very popular in my country as well. They love the song in my country. I featured Davido on the track because I wanted to launch myself into the West African market and he was the best person for the job. I used Davido to break into the West African market,” the Tanzanian singer said further.



1662402_Diamond-Davido-Number-One-Remix-4_jpg9be5b120ed61150df26e7d497d17408b
Jamani mie mbona sioni issue kwenye hiyo statement .Nadhania no valid statement hasa hapo anamposema " that made him very popular in my country as well" anakubali he was popular but single ile ilisaidia Davido kuwa popular "zaidi" Tanzania, and also Diamond kakubali kwamba alimtumia Davido kupenetrate West Africa . Nadhani kichwa cha habari kimeblow out of proportional habari labda
 
Hata mie nimeshindwa hata kushangaa...

Davido katoa nyimbo nyingi Sana hazihesabiki,halafu alishafanya kolabo nyingi mno na nchi zingine kabla ya kukutana na diamond
 
Back
Top Bottom