Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
kwa hiyo yeroooo anapigwaaaa pakubwaaaaa sana.Huyu dada amepandisha madarasa, anaweza kwenda kwao na kuandika series ya maisha ya Wamasai akawa millionaire kama mtunzi wa Harry Potter.
Beberu kwake kila kitu ni fursa. Nilipomuona alivyotengeneza mataulo ya kina mama, ile kichwa siyo.