I married a Maasai man (Nimeolewa na mwanaume wa Kimasai)

I married a Maasai man (Nimeolewa na mwanaume wa Kimasai)

Mzungu rangi....
Yuko kwenye project na ametafta reliable partner a.k.a mfanye mume....with time mzungu atasepa
 
Huyo mmasai huwa anamuonesha ma style ama huwa wanalaliana kama wayahudi
 
Dada wa kizungu aamua kufunga ndoa na mwanaume wa kimasai na kuishi umasaini. Yeye anasema ni mapenzi baina yao ndio yanapelekea kuwa pamoja kwa muda wa miaka tisa.

Je, yaweza kuwepo sababu zaidi ya kupendana? Je, yaweza kuwa kuna kikolombwezo cha mapenzi yao? Au ule mtindo wa jando?

Kuna kijiji kinaitwa LESOIT, kata ya Lengatey, tarafa ya Kijungu, wilayani Kiteto kuna wanawake wa Kizungu wameolewa Umasaini. Sio jambo la ajabu wala kushangaza. Jumanne kuna Mpolish amefunga ndoa ya Bomani na Mmaasai

Bazazi
 
Ni jambo la kawaida sana Wamasai nao ni binadamu kama binadamu wengine.
Ingawa ni tofauti na wabantu wengine ambao wameacha kabisa tamaduni zao na kukumbatia za kizungu.

Sasa hapo lazima mwenyewe avutike kujua nini kimeifanya hii jamii kudumisha tamaduni zake mpaka sasa.

Kwa hapa afrika wamasai wanaweza onekana ni washamba ila kwa watu wa nje hali ni tofauti.

I think Maasai culture is superior so far.
 
Back
Top Bottom