Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
kwa hiyo yeroooo anapigwaaaa pakubwaaaaa sana.Huyu dada amepandisha madarasa, anaweza kwenda kwao na kuandika series ya maisha ya Wamasai akawa millionaire kama mtunzi wa Harry Potter.
Beberu kwake kila kitu ni fursa. Nilipomuona alivyotengeneza mataulo ya kina mama, ile kichwa siyo.
Italy, Portugal or Spain ndo Hali taabuSio bure huyo alikotoka ni choka mbaya....! Rangi isikudanganye
Ametoka Ujerumani tena Munich hajawahi kuishi kijijini. Ni mapenzi tu.Sio bure huyo alikotoka ni choka mbaya....! Rangi isikudanganye
Huyo mzungu utakuta anamagonjwa ya zinaa sema waafrika hatuelewi ushamba umetujaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio maana tunakufa na ukimwiAnaonekana kuyafurahia maisha sana.
Wazungu wana ile wanaita unconditional love.
Kaopoa magonjwaDuuh Masai kaopoa
I'm married with alcohol
Kwaiyo wenzetu wao hawafi na ukimwi?Huyo mzungu utakuta anamagonjwa ya zinaa sema waafrika hatuelewi ushamba umetujaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio maana tunakufa na ukimwi
Umejuaje au ni ile ukisikia paaa!Kaopoa magonjwa
Kila mtu anakuja na jibu lake ngoja nisikomenti chochot kwanza.Dada wa kizungu aamua kufunga ndoa na mwanaume wa kimasai na kuishi umasaini. Yeye anasema ni mapenzi baina yao ndio yanapelekea kuwa pamoja kwa muda wa miaka tisa.
Je, yaweza kuwepo sababu zaidi ya kupendana? Je, yaweza kuwa kuna kikolombwezo cha mapenzi yao? Au ule mtindo wa jando?
Hao ni wazungu pori.Mbona wanawake wa Poland wapo wengi tu walioolewa hapa bongo.
Yaani ukiona mzungu kaolewa na mswahili chances ni kwamba ni Mrusi au Mpoland (waliokuwa wajamaa wenzetu)!Hao ni wazungu pori.
Kutoka Germany sio hoja...! Mbona London omba omba wapo?Ametoka Ujerumani tena Munich hajawahi kuishi kijijini. Ni mapenzi tu.
Hoja tunayoiongelea hapa ni ipi?Kutoka Germany sio hoja...! Mbona London omba omba wapo?