I need a boyfriend

Status
Not open for further replies.
If I were you sio lazima awe na degree. Mi mme wangu nimepita mbali ki elimu japo nimkubwa kwangu six years. Ila ananipenda ananieshimu sana kila kitu lazima anishilikishe maana anajua IQ inasoma. Imradi mpendanne.

Alaf katika research yangu ndogo kwa marafiki zangu nimegundua kama wote wasomi uhusiano mara nyingi haudum. Alaf hata kwao full respect.
 
Ww curious gal Acha kutuchora na kutafta attention f@la wewe mxeew, wanaume mtakaomfuata huyu mtoa mada pm nitawaona wajinga... Its either atawachuna pesa au sana sana hatowajibu PM zenu

Chonde chonde wanaume wenzangu acheni kujiaibisha mnachoreka bureee Curious gal BigBro Wa nguvu musajohn58
 

Mtoa mada hapa anatafta attention tu, hlf anatuchora tu wanaume wa jf hana lolote..au sana sana anatafuta mwanaume wa kumchuna Saraffina
 
Jitose tu!!! Hao wengine mbona huniombagi ruhusa?

Mtoa mada hana lolote yuko hapa kuwachora tu wanaume wa jf, sana sana watakao pm mtoa mada hawatojibiwa au watachunwa hela...si ajabu waweza kuta mtoa mada ni mwanaume Paprika
 
Tuna tofautina mpenzi kila mtu ana chaguo lake
 
Nawafaham wanawake vizur sana, mm sijaanza kutongoza Jana wala juz.. Saraffina
Hahahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Wajinga ndowaliwao au Usikute kakutosa mkuu. Mwache abahatishe
 
Mimi darasa la saba. Ukikosa wa degree na mwenye HP nitafute tu, uniambie na siku ya intervie
 
Ukiona mtu anakuja humu kutafuta mpenzi, mke/mme don't trust him/her kwa nini akose huko mtaani kwake hadi aje humu.
Wanawake wengi wanaotafuta wapenzi humu wameshindikana kama akina Kiswaswa
 
Hellow:
Mimi ni msichana wa miaka 28 and am single,ningependa kupata boyfriend ambae nae yupo single
Vigezo:
Age: above 28
Education: degree and above
Mimi nina degree(bachelor) of science in fishing and aquatic life . Vip umeridhia?
 
Hahahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Wajinga ndowaliwao au Usikute kakutosa mkuu. Mwache abahatishe

Mm siku hiz sijichoshagi na wanawake wa mitandaoni, nawasaka tu mtaani muulize mtoa mada kama okoyoko ashawahi kukutongoza uone kama atakupa evidence yoyote, mitandaoni labda utapata machangudoa wanaojiuza na mashoga Saraffina
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…