I need a friend to text me love me and share good things

I need a friend to text me love me and share good things

NATUMAI HUKO PM/DM/INBOX kumejaa maombi ya urafiki, 99% ya passengers huko PM ni MEN tena walio oa/wana mahusiano[emoji28]

Natumai pia ombi lako liimetimia[emoji1]
 
sura ninayo baba ako ndio anakopumzikia na vile mama ako hajui kumhandle na sura hihi ya nguruwe ndio inamfanya namtuliza stress zake una jingine mwanangu wa kufikia
Maskini marehemu wa kitambo,🤣🤣🤣 so huko makaburini unamtukizaje?? Sijui niseme mzuka ???mi niambie tu , isitoshe angekuwepo ungeliwa kila mahali hadi mdomo , ungekuwa umeendraa kabisa huna lile au hili . Sai unatumia dozi ya kuongeza siku saizi .
 
Maskini marehemu wa kitambo,🤣🤣🤣 so huko makaburini unamtukizaje?? Sijui niseme mzuka ???mi niambie tu , isitoshe angekuwepo ungeliwa kila mahali hadi mdomo , ungekuwa umeendraa kabisa huna lile au hili . Sai unatumia dozi ya kuongeza siku saizi .
alikua ananila ni vile baba yako aliumbwa kua mtu wa siri nyingi niamini mm ameenda nayo huko kaburini
 
Mama Mwana aisee kumbe ndio wewe uliyemwekea majambi ukaenda na pesa za mradi wakijiji na ujenzi wa shule loh huna hata wewe mwana izaya usiye na dogo unaupara wa kuridhi ukicheka unahesabu meno ukimumunya pipi inatokezea kwenye huu mwanya wa kati kati wa mbele unamasikio ya panzi huonekani utadhani huna. Mmh aisee shepu lenyewe kama jambo kubwa huresemble kama wewe ni mwanamke au mwanaume . Unachekelea kama mazuri yaani unavistogimbi vya miguu kama miti ya mierenzi , urefu utolee wapi unatisha kama jini kimeo na unavyoongea hara kaharaka kisa ya mapengo .
 
Back
Top Bottom