I need a friend to text me love me and share good things

Wewe mzee wangu hawezi nilala alikuwa mwenyeketi wa kitaa pisi kali zinamfuata zinapigana kwetu mama anaamua baba yangu ni kitu ya tanga og hajatahiriwa kama hicho kibitoz chako kilivyotahiriwa hospitali licha saivi kina piga mbili usingizi kinaongea slaying za kishamba unatembe a na mtu anavits ?? Weh halafu umezeka watoto wa secondary wapi nawapi unatembeaga resi kwa maana uliwahi pigwa na fekeo ukifukuzia wanaume za watu hadi na sasa unatembea mguu mmoja upo mfupi ulishtuka haujarudi mahali pake . Unadana dana hatari wanawake wanasema kuna madingi wanandele zao . Halafu dingi yangu hatembeagi na nuksi
 
umekula mchana?
 
Wewe ingekuwa hivyoo babe wako saivi angekuwa kakutext i love u hivi kati ya yule demu wa chuo na wewe bibie nani atamuwin bae atolewe out kwa hiyari mana kwa kutuma vocha kwa bae nakumjulia hali hujambo lini kakujulia hali mwenyewe bila kulengesha .
sijawahi hata kutuma jero.kwa bae....nitue bibi wee....!
 
😂😂😂😂😂 kumbe alikua mwenyekiti wa mtaa okay sjui zile hela alikua anatoa wapi maana wenyekiti wengi hawanaga hela labda za kulangua viwanja vya watu, ndio umejuaje baba ako ana govi? mtoto umenihinda tabia wewe alikua ni baba yako mzaz au aliingiziwa mtoto
 
Angalia ulivyoo changanyikiwa sasa ulidhani ni hao washika ukuta wakwenu mmh mtoto unanuksi . Sana hujafundwa usichanani . Umefukuzwa kwenu kwa kushikwa shikwa nakila ntu
 
Yes nimekula mchana tena chipsi zege na mishakaki ya kuku aro tamu na soda yabaridi ya pepsi . Mie sijishaugi kama nyie etimilo yenu 20k au 50 pale samaki samaki mie kawaida tu kesho pia ni samaki na ugali wa saro karibu njoo tuchambane
Da candy njaa inaniuma ninunulie mishikaki ya kuku 😜
 
I need a friend to text me love me and share good things
O my Luve is like a red, red rose
That’s newly sprung in June;
O my Luve is like the melody
That’s sweetly played in tune.

So fair art thou, my bonnie lass,
So deep in luve am I;
And I will luve thee still, my dear,
Till a’ the seas gang dry.

Till a’ the seas gang dry, my dear,
And the rocks melt wi’ the sun;
I will love thee still, my dear,
While the sands o’ life shall run.

And fare thee weel, my only luve!
And fare thee weel awhile!
And I will come again, my luve,
Though it were ten thousand mile.
 
Yes nimekula mchana tena chipsi zege na mishakaki ya kuku aro tamu na soda yabaridi ya pepsi . Mie sijishaugi kama nyie etimilo yenu 20k au 50 pale samaki samaki mie kawaida tu kesho pia ni samaki na ugali wa saro karibu njoo tuchambane
lol...kuchambana sijui...nilijua hujala .samaki samaki ndo wapi huko dogo??
 
Valentine hiyo
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…