I need a Partner

I need a Partner

Kuna miamba inafanya hizi mambo za udalali wa wachumba huko fb na insta...wanakula vichwa vya madomo zege balaa🤣🤣
Sio madomo zege tu, kuna wengine hata kama una domo yai au cherehani sio kirahisi
 
Mimi nipo Rukwa pia lakini Hilo jina lako SP donor(sperm donor)🤣 sio ndo wale wanaume wanazalisha na kutelekeza
Huo ni mtazamo wako si Kila jina basi humaanisha hasa huku kwenye social
 
Nipo Rukwa natafuta Ke aliyepo Rukwa specific Mjini kwa Mahusiano. Awe na age 20+.Karibu PM
Yaani kwenye jambo kama hili unapaswa kujitanaibisha wasifu wako kiweredi. Sasa kama kiingereza ulichotumia tu hakijaleta maana tarajiwa je mengine?
It was supposed to "SPECIFICALLY"
Wafipa oyeeeeee
Lamomy
 
Ushakariri Kila anayeishi rukwa ni mfipa. Kukosea lugha pia ushatoa na hukumu kwamba hamna kitu? Binadamu nyie hatari sana.
 
Back
Top Bottom