njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Kuleni tu uono wenuSisi tuliopo Tanga huku hututaki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuleni tu uono wenuSisi tuliopo Tanga huku hututaki?
Inaombwaje?Haiombwi hivyo....!🙄
mimi sio nabii ila kwa majibu haya upo sumbawangaSisi tuliopo Tanga huku hututaki?
basi utakuwa mshangaziHee mimi ni bibi above 40 mkuu🙆♂️
Kuna miamba inafanya hizi mambo za udalali wa wachumba huko fb na insta...wanakula vichwa vya madomo zege balaa🤣🤣Nikiwa dalali wa hivi vitu ntapiga sana ela
Sio madomo zege tu, kuna wengine hata kama una domo yai au cherehani sio kirahisiKuna miamba inafanya hizi mambo za udalali wa wachumba huko fb na insta...wanakula vichwa vya madomo zege balaa🤣🤣
Mmh siyo unabii ,nadhani nilikwambia mwenyewe🤣🤣mimi sio nabii ila kwa majibu haya upo sumbawanga
Tanga sehemu Gani?Sisi tuliopo Tanga huku hututaki?
Dah hata sijawahi kufika mkuu🙆♂️Tanga sehemu Gani?
Huo ni mtazamo wako si Kila jina basi humaanisha hasa huku kwenye socialMimi nipo Rukwa pia lakini Hilo jina lako SP donor(sperm donor)🤣 sio ndo wale wanaume wanazalisha na kutelekeza
Mhhhh njoo pm kwanza yanazungumzikaKukwichi ni leo leo kwani!?
Asogee tu PM maisha hayana formula siku hizi.mimi sio nabii ila kwa majibu haya upo sumbawanga
Yaani kwenye jambo kama hili unapaswa kujitanaibisha wasifu wako kiweredi. Sasa kama kiingereza ulichotumia tu hakijaleta maana tarajiwa je mengine?Nipo Rukwa natafuta Ke aliyepo Rukwa specific Mjini kwa Mahusiano. Awe na age 20+.Karibu PM
Hivi umehama mbeyaSisi tuliopo Tanga huku hututaki?
Mbeya ni nyumbani kwetu mkuu, maisha natafutia TangaHivi umehama mbeya
Si urudi mbeya nipate mke aiseeMbeya ni nyumbani kwetu mkuu, maisha natafutia Tanga
Mke anapatikana popote mkuu, njoo unioe huku huku Tanga🏃♀️Si urudi mbeya nipate mke aisee
😀 Nakusubiri mbeya.Mke anapatikana popote mkuu, njoo unioe huku huku Tanga🏃♀️
Nakuja kesho mapema🤣🤣😀 Nakusubiri mbeya.