al-baajun
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 283
- 209
Kwakweli Anko magu hakua perfect ila ni Rais ambaye watanzania wengi tulimpenda sana.
Alitufundisha uzalendo,kua proud na utanzania wetu hata kama sisi ni nchi maskini. Hakupenda watanzania waonekane wanyonge sehemu nyingine, aliipenda Africa yake, hakuwaona wazungu kama ndio kila kitu.
He was a real legend, hakua muoga na alichukia sanaa mtu msaliti msaliti kama wapinzani.
Nammis sana,tena sana rest in peace anko magu.you're the real G.
Alitufundisha uzalendo,kua proud na utanzania wetu hata kama sisi ni nchi maskini. Hakupenda watanzania waonekane wanyonge sehemu nyingine, aliipenda Africa yake, hakuwaona wazungu kama ndio kila kitu.
He was a real legend, hakua muoga na alichukia sanaa mtu msaliti msaliti kama wapinzani.
Nammis sana,tena sana rest in peace anko magu.you're the real G.