M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Shetwani kama yule atakumbukwa na mashetwani wenziwe tu!Mtamkumbuka tu with time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetwani kama yule atakumbukwa na mashetwani wenziwe tu!Mtamkumbuka tu with time
Mtamkumbuka tu with time
Ndiooo ni wengi angesema wote sawaUkitaka kuwakilisha hisia zako usiziweke general "watanzania wengi" ,sema wewe! Familia ya Kanguye,Ben saa8 ,waliotumbuliwa vyeti feki,waliporwa fedha zao kwa kigezo cha uhujumu uchumi,waliobomolewa nyumba kimara etc nao wanampenda?
Ndiooo ni wengi angesema wote sawa
Kwa bahati mbaya sana, sasa tuna serikali sikivu, tulivu na iliyotoa uhuru na usimamizi mzuri wa sheria, ikijali haki za raia LAKINI hakuna hata kesi moja iliyofunguliwa sasa ya kudai haki zilizopokwa wala fidia zilizozurumika! Nitaaminije kuwa kulikuwa na uonevu? Au uonevu na uteswaji ni kwakuwa walizuiwa kufanya michezo michezo na kunyagwa kisicho chao kihalali?Utammisije mtu katili na mtesaji? Huu uovu ndiyo uliomfanya Mungu amuondoe duniani.
Na wafuasi wake wanaomuabudu nao wakae chonjo - wanaweza kuondolewa anytime!
Achana na matahira ya humu mkuuUkitaka kuwakilisha hisia zako usiziweke general "watanzania wengi" ,sema wewe! Familia ya Kanguye,Ben saa8 ,waliotumbuliwa vyeti feki,waliporwa fedha zao kwa kigezo cha uhujumu uchumi,waliobomolewa nyumba kimara etc nao wanampenda?
Umeona kilichomkuta makengeza?kutumia uhuru vibaya.Rais asikosolewe yeye ni nani? Hayuko juu ya sheria ,urais ni utumishi wa umma ,lazima akosolewe ,kama hataki kukosolewa aachie ngazi,anakosolewa Joe Badeni rais wa dunia ndio iwe pangu pakavu?
Shetwani kama yule atakumbukwa na mashetwani wenziwe tu!
Umeona kilichomkuta makengeza?kutumia uhuru vibaya.
Wapinzani kama mnataka uhuru wa kutukana si muondoke nchini kwetu..nchi hampati mtabaki hivo hivo kutegemea miujiza ya mzungu.
Mpo wachache sana nchi hii,na hatutawapa nchi..niko radhi kufa kupambana mapinzani yasichukue nchi hii
Mmejawa chuki na makasiriko yasiokua na maana
Umeona kilichomkuta makengeza?kutumia uhuru vibaya.
Wapinzani kama mnataka uhuru wa kutukana si muondoke nchini kwetu..nchi hampati mtabaki hivo hivo kutegemea miujiza ya mzungu.
Mpo wachache sana nchi hii,na hatutawapa nchi..niko radhi kufa kupambana mapinzani yasichukue nchi hii
Mmejawa chuki na makasiriko yasiokua na maana
Nyie nchi yenu si inaruhusu kuwatukana viongozi na kujifanya mna uhuru wa kuongea?Kwanini nyie mnadhani hapa ni nchini kwenu wala si nchini kwetu?
Kwanini nyie msiondoke nchini kwetu?
Nyie nchi yenu si inaruhusu kuwatukana viongozi na kujifanya mna uhuru wa kuongea?
Hii ni nchi yetu,na CCM ndio chama cha watanzania..sipati picha nchi ikiwa mikononi kwa waapinzani..tunauzwa mchana kweupee
Sema baadhi yenu yaani wewe na akina Sabaya,Makonda, Pole pole na Bashiru ndio mnamkumbuka maana mlikuwa mnanufaika na aina ya utawala wake.Kwakweli Anko magu hakua perfect ila ni Rais ambaye watanzania wengi tulimpenda sana.
Alitufundisha uzalendo,kua proud na utanzania wetu hata kama sisi ni nchi maskini.
Hakupenda watanzania waonekane wanyonge sehemu nyingine,aliipenda Africa yake,hakuwaona wazungu kama ndio kila kitu.
He was a real legend,hakua muoga na alichukia sanaa mtu msaliti msaliti kama wapinzani.
Nammis sana,tena sana rest in peace anko magu.you're the real G.View attachment 1884955
Kwakweli Anko magu hakua perfect ila ni Rais ambaye watanzania wengi tulimpenda sana.
Alitufundisha uzalendo,kua proud na utanzania wetu hata kama sisi ni nchi maskini.
Hakupenda watanzania waonekane wanyonge sehemu nyingine,aliipenda Africa yake,hakuwaona wazungu kama ndio kila kitu.
He was a real legend,hakua muoga na alichukia sanaa mtu msaliti msaliti kama wapinzani.
Nammis sana,tena sana rest in peace anko magu.you're the real G.View attachment 1884955