adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Karatasi za biblia hazizingui?Vipi za kawaida zina madhara gani?,,,,,,,,,,,,, , ,,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Pia kilichonifanya nione niko kwenye " wrong track" nakuamua kuacha ni baada ya zile " lisla" kuwa adimu. Sasa ganja man mmoja akasema tutumie karatasi za Biblia ya kiswahili zile kubwa. Nikaona sasa tunamchokoza Mungu mwenyewe tunaelekea kubaya. Nikaanza kuacha taratibu.
Zina madhara sana sababu moshi wa karatasi inakuwa 50/50 na ganja.
Hilo Pantera ukipiga pafu tano unahisi uko heaven unafunga upepo na malaika ...uhakika siachi kula ganja mazee..Picha kwa hisani ya wajuba kitaani kwetuView attachment 1646474View attachment 1646475View attachment 1646476
Hajajua kitakachomkuta huyuUsipende kunyongewa ganja utapotea...jifunze kunyonga mwenyewe..
Siyo phantom ni panteraa ..huyu jamaa hajui kunyonga fresh maana nyuma nene kinomaMkuu mbona Hilo Tom (Phantom) unalitoa kishamba Hivyo
Watu bana hawayajui maphantom...Siyo phantom ni panteraa ..huyu jamaa hajui kunyonga fresh maana nyuma nane kinoma
kunyonga unajinoaje?Mwenyewe bado inanizinguaSiyo phantom ni panteraa ..huyu jamaa hajui kunyonga fresh maana nyuma nane kinoma
Jifunze kwenye karatasi kwanza...ila usivute
Wewe nunua packet ya sigara. Kila unapotaka kuvuta toa tumbaku jaza mmea deal done
Akikuuzia ivyo kesho utarudi utamwambia akunyongee kama ya jana halaf kama jana ulichukua wa 3000 leo utachukua wa 7000.Mapusha ndo wana tabia hii??sasa unga si una bei?Kwanini akuwekee bure?
Wanapuliza kupitia nyumaenlighten us mkuu!. mimi pia nataka kupulizw hicho kidude tena sanaaa
Unazijua Rizla zile karatasi .. tafuta hizo ndo babake..kunyonga simponi tu mkuu..
[emoji23][emoji23][emoji23]phantom ni balaa na nusuWatu bana hawayajui maphantom...
ile ya 200/250 naona inakuwa nyingi kuzidi ukubwa wa lizlaUnazijua Rizla zile karatasi .. tafuta hizo ndo babake..kunyonga simponi tu mkuu..
Ha ha ha ha! hata mimi nilikuaga nahisi ivo...nenda youtube wanafundisha kwa vitendo...
That's what I always do Hommie.Wewe nunua oavket ya sigara. Kila unapotaka kuvuta toa tumbaku jaza mmea deal done
Angalia muandiko wako tenaWakuu taangu jana nilikua katika trials kuchek what it feels mtu akivuta bangi nikaenda kwa mwana kununua halafu akaninyongea kabisa nikarudi geto mida ya saa 3 jioni nikafungua mlango kisha nikawasha AC then nikawasha mmea nikapiga mbili lakini hakuna kilichonitokea na wala siku hisi any vibe na moshi nilikua naumeza pia. This is overated shit wazeee