I smoked weed, nothing happened

I smoked weed, nothing happened

,,,,,,,,,,,,, , ,,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Pia kilichonifanya nione niko kwenye " wrong track" nakuamua kuacha ni baada ya zile " lisla" kuwa adimu. Sasa ganja man mmoja akasema tutumie karatasi za Biblia ya kiswahili zile kubwa. Nikaona sasa tunamchokoza Mungu mwenyewe tunaelekea kubaya. Nikaanza kuacha taratibu.
Karatasi za biblia hazizingui?Vipi za kawaida zina madhara gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nunua oavket ya sigara. Kila unapotaka kuvuta toa tumbaku jaza mmea deal done
That's what I always do Hommie.
Ndo maana huwa sifananii warandukaji 😂😂😂✌️.
Lips na Vidole vipo kawaida ,Labda macho Tuu
 
Naona unacheza na huu mmea.
Kuna siku nilijifanya tester tukapelekwa na demu moja kwenye bar moja iko masaki kama sikosei.

Kitu kikaja, nikajidai kuonja nilipiga pafu kaza nikasema hii famba tu.

Danika kumi nyinyi, nikaanza kuona manyota nyota.

Kilichofuata nakikua mimi
 
Wakuu taangu jana nilikua katika trials kuchek what it feels mtu akivuta bangi nikaenda kwa mwana kununua halafu akaninyongea kabisa nikarudi geto mida ya saa 3 jioni nikafungua mlango kisha nikawasha AC then nikawasha mmea nikapiga mbili lakini hakuna kilichonitokea na wala siku hisi any vibe na moshi nilikua naumeza pia. This is overated shit wazeee
Angalia muandiko wako tena
 
Back
Top Bottom