I Sympathize with Habib Kiombo Simba mmemkosea sana Habib Kiombo

I Sympathize with Habib Kiombo Simba mmemkosea sana Habib Kiombo

Mimi ni shabiki wa damu wa Dar Es Salaam Young Africans lakini hiki kilicho tokea kwa kijana mwenzetu Habib Kiombo kimenigusa sana.

Habib ame twezwa.

Anacho fanyiwa Habib ni public humiliation.

Anahukumiwa yeye kwa makosa ya viongozi na PR wa simba.

Kama kijana anae tafuta maisha yake kupitia mpira wa miguu sidhani kama atakuwa ana furahishwa na Maneno ya kejeli kutoka mashabiki wa Simba na Yanga wa mitandaoni.

Tuweke ushabiki pembeni, mwana atakuwa anapitia kipindi kigumu sana cha maisha yake.

Habib Kiombo sio mchezaji mbaya la hasha. Ni mchezaji mwenye uwezo mzuri tu uwanjani. Ukiona mchezaji anasajiliwa na Simba na Yanga basi uwe na uhakika kwamba ni mchezaji mzuri.

Tatizo ni poor choose of time ya kumtambulisha.

Habib sio mchezaji mbaya isipokuwa ametambulishwa katika kipindi kibaya.

Watu wa PR wa Simba wamemtambulisha Habib bila kuziheshimu siasa za Simba na Yanga.

Kwa siasa za Simba na Yanga, mashabiki wa Simba walitegemea leo angetambulishwa mchezaji wa kigeni mwenye jina kubwa au kama ni mchezaji wa hapa hapa bongo basi at least awe yule aliye fanya vizuri kwenye msimu ulio pita mfano George Mpole.

Unapo fanya matangazo makubwa kiasi hicho kuwatamanisha mashabiki wa klabu yako kwamba utakwenda kisimamisha Afrika halafu una mtambulisha mchezaji anae toka kwenye timu iliyo shuka daraja lazima utegemee kupata backlash kutoka kwa mashabiki wa Simba na Yanga.
Simba walitarajia kuletewa Rachel ( Genesis 29:18) lakini wakaishia kupewa Leah ( Genesis 29:25)

Mwisho wa siku kejeli zinaenda kwa kijana wa kitanzania anae pigana kutafuta ugali wake.

Simba wangeweza kutangaza majina makubwa mawili au moja halafu baada ya hapo ndo wakamtangaza Habib. Hivyo ndivyo siasa za Simba na Yanga zinavyo taka.
Hata hivyo Mungu ni wa ajabu sana. Huyo huyo Habib Kiombo ambae mashabiki wa Simba na Yanga wana mkejeli , anaweza kuwa mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania. Siku zote Mungu huwa anapenda kusimama na watu wanao chukuliwa kuwa hawawezi ( 1 Samuel 16:1-13)

Even the internet was created without internet.

Hata Wenger aliwahi ' kupigwa mawe' kwa sababu ya usajili wa Nicolas Anelka na baadae Thierry Henry.

Wenger huyo huyo aliwahi kumkataa Ronaldo, kilicho tokea kwenye career ya Ronaldo baadae hata Zuchu ana kijua.

i Sympathize with Habib Kiombo.

Habib Kiombo take heart. The Lord God is with you.

U shall be successful in ur career.

Pumba tupu. Hayo mambo ya kipuuzi unayoyaita Siasa za Simba na Yanga zimetufelisha miaka nenda rudi, hazina tija yoyote zaidi ya upuuzi mtupu
 
sioni kosa la Ahmed. wachezaji wote wanastahili same promo. Tz ina strikers wa kigeni zaidi 10 ila top ni Mpole. Hatuwezi kuendelea kutukuza wageni na kupuuza kina Kichuya

Nakubaliana nawe 100%!
Tuache kuishi kwa mazoea .By the way, hizo anazoziita siasa za Yanga na Simba zimetufikisha wapi zaidi ya upuuzi tu. Msikilize huyu mzee, fact tupu[emoji116]

 
Simba wangeacha Yanga wamalize swala lao
 
Hawa unaowaita mashabiki oya oya,ndio wanaoipa club ya Simba nguvu.
Sasa kinachoonekana ni utapeli wa viongozi na sisi hatutaki kutapeliwa.

Kumbuka kauli za viongozi kwanza;
Mo alisema Simba ikimtaka mchezaji yeyote inampata.

Mwenyekiti akayarudia maneno kama hayo mara kadhaa

CEO alisema Simba ni club kubwa haiwezi kukubali udhamini wa bilion 40 za Azam media.

Viongozi wamepata jeuri ya kuikataa billion 40 sio kwa vile wao wanahela kuliko hizo bali ni kwa sababu wanajua tupo sisi ambao ndio wateja wa bidhaa za azam.Azam alituona sisi .
Kwani dirisha la usajili limefungwa?
 
Tatizo mashabiki wengi ni wale jobless graduates, wana hasira kinyama utadhani simba na Yanga ndo waliowanyima ajjra.
Inafika mahali unajiuliza, haka ka jamaa kamewekeza sh ngapi pale simba kwamba katapata hasara??

"Yote 9, hii mainstream imejaa mabogus"
Tumewakosea nini sie jobless kila kosa ni letu!!
Mtasema hata kuoanda bei ni sisi tumeaababisha.
 
Mimi ni shabiki wa damu wa Dar Es Salaam Young Africans lakini hiki kilicho tokea kwa kijana mwenzetu Habib Kiombo kimenigusa sana.

Habib ame twezwa.

Anacho fanyiwa Habib ni public humiliation.

Anahukumiwa yeye kwa makosa ya viongozi na PR wa simba.

Kama kijana anae tafuta maisha yake kupitia mpira wa miguu sidhani kama atakuwa ana furahishwa na Maneno ya kejeli kutoka mashabiki wa Simba na Yanga wa mitandaoni.

Tuweke ushabiki pembeni, mwana atakuwa anapitia kipindi kigumu sana cha maisha yake.

Habib Kiombo sio mchezaji mbaya la hasha. Ni mchezaji mwenye uwezo mzuri tu uwanjani. Ukiona mchezaji anasajiliwa na Simba na Yanga basi uwe na uhakika kwamba ni mchezaji mzuri.

Tatizo ni poor choose of time ya kumtambulisha.

Habib sio mchezaji mbaya isipokuwa ametambulishwa katika kipindi kibaya.

Watu wa PR wa Simba wamemtambulisha Habib bila kuziheshimu siasa za Simba na Yanga.

Kwa siasa za Simba na Yanga, mashabiki wa Simba walitegemea leo angetambulishwa mchezaji wa kigeni mwenye jina kubwa au kama ni mchezaji wa hapa hapa bongo basi at least awe yule aliye fanya vizuri kwenye msimu ulio pita mfano George Mpole.

Unapo fanya matangazo makubwa kiasi hicho kuwatamanisha mashabiki wa klabu yako kwamba utakwenda kisimamisha Afrika halafu una mtambulisha mchezaji anae toka kwenye timu iliyo shuka daraja lazima utegemee kupata backlash kutoka kwa mashabiki wa Simba na Yanga.
Simba walitarajia kuletewa Rachel ( Genesis 29:18) lakini wakaishia kupewa Leah ( Genesis 29:25)

Mwisho wa siku kejeli zinaenda kwa kijana wa kitanzania anae pigana kutafuta ugali wake.

Simba wangeweza kutangaza majina makubwa mawili au moja halafu baada ya hapo ndo wakamtangaza Habib. Hivyo ndivyo siasa za Simba na Yanga zinavyo taka.
Hata hivyo Mungu ni wa ajabu sana. Huyo huyo Habib Kiombo ambae mashabiki wa Simba na Yanga wana mkejeli , anaweza kuwa mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania. Siku zote Mungu huwa anapenda kusimama na watu wanao chukuliwa kuwa hawawezi ( 1 Samuel 16:1-13)

Even the internet was created without internet.

Hata Wenger aliwahi ' kupigwa mawe' kwa sababu ya usajili wa Nicolas Anelka na baadae Thierry Henry.

Wenger huyo huyo aliwahi kumkataa Ronaldo, kilicho tokea kwenye career ya Ronaldo baadae hata Zuchu ana kijua.

i Sympathize with Habib Kiombo.

Habib Kiombo take heart. The Lord God is with you.

U shall be successful in ur career.
Iko powah sana , hii itamfanya apate hasira apambane uwanjani, huu utangazaji hauna shida yeyote
 
Mimi ni shabiki wa damu wa Dar Es Salaam Young Africans lakini hiki kilicho tokea kwa kijana mwenzetu Habib Kiombo kimenigusa sana.

Habib ame twezwa.

Anacho fanyiwa Habib ni public humiliation.

Anahukumiwa yeye kwa makosa ya viongozi na PR wa simba.

Kama kijana anae tafuta maisha yake kupitia mpira wa miguu sidhani kama atakuwa ana furahishwa na Maneno ya kejeli kutoka mashabiki wa Simba na Yanga wa mitandaoni.

Tuweke ushabiki pembeni, mwana atakuwa anapitia kipindi kigumu sana cha maisha yake.

Habib Kiombo sio mchezaji mbaya la hasha. Ni mchezaji mwenye uwezo mzuri tu uwanjani. Ukiona mchezaji anasajiliwa na Simba na Yanga basi uwe na uhakika kwamba ni mchezaji mzuri.

Tatizo ni poor choose of time ya kumtambulisha.

Habib sio mchezaji mbaya isipokuwa ametambulishwa katika kipindi kibaya.

Watu wa PR wa Simba wamemtambulisha Habib bila kuziheshimu siasa za Simba na Yanga.

Kwa siasa za Simba na Yanga, mashabiki wa Simba walitegemea leo angetambulishwa mchezaji wa kigeni mwenye jina kubwa au kama ni mchezaji wa hapa hapa bongo basi at least awe yule aliye fanya vizuri kwenye msimu ulio pita mfano George Mpole.

Unapo fanya matangazo makubwa kiasi hicho kuwatamanisha mashabiki wa klabu yako kwamba utakwenda kisimamisha Afrika halafu una mtambulisha mchezaji anae toka kwenye timu iliyo shuka daraja lazima utegemee kupata backlash kutoka kwa mashabiki wa Simba na Yanga.
Simba walitarajia kuletewa Rachel ( Genesis 29:18) lakini wakaishia kupewa Leah ( Genesis 29:25)

Mwisho wa siku kejeli zinaenda kwa kijana wa kitanzania anae pigana kutafuta ugali wake.

Simba wangeweza kutangaza majina makubwa mawili au moja halafu baada ya hapo ndo wakamtangaza Habib. Hivyo ndivyo siasa za Simba na Yanga zinavyo taka.
Hata hivyo Mungu ni wa ajabu sana. Huyo huyo Habib Kiombo ambae mashabiki wa Simba na Yanga wana mkejeli , anaweza kuwa mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania. Siku zote Mungu huwa anapenda kusimama na watu wanao chukuliwa kuwa hawawezi ( 1 Samuel 16:1-13)

Even the internet was created without internet.

Hata Wenger aliwahi ' kupigwa mawe' kwa sababu ya usajili wa Nicolas Anelka na baadae Thierry Henry.

Wenger huyo huyo aliwahi kumkataa Ronaldo, kilicho tokea kwenye career ya Ronaldo baadae hata Zuchu ana kijua.

i Sympathize with Habib Kiombo.

Habib Kiombo take heart. The Lord God is with you.

U shall be successful in ur career.

Simba haina Viongozi kwa Sasa. Mnawapa tension mashabiki halafu mnafanya ujinga. Kwa Sasa Viongozi wa Simba hawana jipya, wanawatumia mashabiki Kama chambo tu. Kuna kipindi Yanga walikuwa wanajifunza kwa Simba ila Sasa hivi Simba ndio wataanza kujifunza kwa Yanga.
 
Wanajua Simba wengi ni mbumbumbu, wanafanya watakavyo tu 🤣🤣🤣

Viongozi wanalijua hilo ndio maana hawana hofu. Wenzako wanamsajili mchezaji wa zamani wa ligi kuu wewe unatishia na kumsajili mchezaji wa kawaida asiye na maajabu. Kweli Simba imepatikana.
 
Wacha mawazo yako ya kimaskini. Kyombo ndio atakuja kuuwasha moto mumjue vizuri yeye ni nani.

Mechi 15, Assist 3,Goli 6.

Viongozi wa Simba sio wajinga wanajua wanachofanya, zaidi atalishwa na mafundi Chama na Kapama, mtulie.

Dah aiseee. Yale Yale ya nyoni.
 
Msemaji wa Simba ni zaidi ya mpuuzi.
Milikuwa namuona ana busara lakini nimeanza kuwastukia sasa karibu wote hapo Simba.
Wana mambo ya ajabu sana.Na nimeshawaambia wana Simba,haya masihara yataendelea hadi mwisho wa msimu.

Bora wewe umeliona mashabiki bado hawajashtuka, watashtuka msimu ukiisha.
 
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu.
Kwa kuwasajili wastaafu wa soka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom