Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Nyie kama nani? The state au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nilitolewa na nani Ikulu? Nipo Ikulu tokea tarehe 22/4/1997 na tarehe naikumbuka na sijawai toka natokaga kikazi tu narudiUnawathibitishia watanzania wezi wa meno ya tembo mlivyorudi ikulu, ujinga ni kipaji.
Kama hukuwahi kutoka basi Magufuli alikubana hukupata mwanya wa kuiba, leo wanarudi wezi wenzio ndio maana unashangilia, hii serikali yenu mnaichafua kwa spidi ya 5G huku mnashangilia kama mazuzu.Kwani nilitolewa na nani Ikulu? Nipo Ikulu tokea tarehe 22/4/1997 na tarehe naikumbuka na sijawai toka natokaga kikazi tu narudi
Magufuli alikuwa Mwizi nawe hujui mengine mkaage kimya Pesa zimeishia Seychelse pesa ziko tunajuaKama hukuwahi kutoka basi Magufuli alikubana hukupata mwanya wa kuiba, leo wanarudi wezi wenzio ndio maana unashangilia, hii serikali yenu mnaichafua kwa spidi ya 5G huku mnashangilia kama mazuzu.
Huu ndio ule wakati kuna watu wanapiga simu ili watoe pongezi halafu hazipokelewi embu fikiria hiyo hali.🚶🚶🤣Bila ya khofu ya kuuwawa na mwili kutupwa Ruvu.
Huko nyuma tunakumbuka nyuzi zako hadi ukaapa kurudi kwenye siasa. Ulipigwa kitu kizito na mwendazake🤣Wapi Nimetukana Mkuu? Hapa Au
Eeh kumbe?Magufuli alikuwa Mwizi nawe hujui mengine mkaage kimya Pesa zimeishia Seychelse pesa ziko tunajua
Nchi inasafika sasa🤣🤣Bila ya khofu ya kuuwawa na mwili kutupwa Ruvu.
Wahaya mna mashauzi nyieNagaruka nagaruka now niko Tanzania , Next month Majukumu Slovenia aaaa
Kuna Mikakati Muhimu sasa tutaanza kujua kabla ya wengine
Siasa za chuki na kuwindana kama Digidigi hazina nafasi katika Nchi yetu Tanzania.Nchi inasafika sasa🤣🤣
Haha haya bwanaWahaya mna mashauzi nyie
"Majukumu yamekwisha, now we're free"Majukumu yameisha Now we are free!
Kwanza pongezi Kwa kuendelea kulisukuma gurudumu la habari hapa!
Kuna Mikakati Muhimu sasa tutaanza kujua kabla ya wengine,
Be the first to know!!
Britanicca
Ohhoo Kalamu habari za siku hizi @tindo1 yuko wapi siku hizi"Majukumu yamekwisha, now we're free"
First revelation. Clue!
'Full circle', au siyo mkuu imhotep!Siasa za chuki na kuwindana kama Digidigi hazina nafasi katika Nchi yetu Tanzania.
Dah !..Mkuu acha kwanza nimalize yaliyo nimetoa Dodoma, wakati Decay ikiendelea kule CHATO
Haina maana kuwa nimerudi CCM,niko Chadema.'Full circle', au siyo mkuu imhotep!
Ninakukumbusha tu enzi zako zile za mwanzo.