Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waitu nyegera na akanyeto!Nagaruka nagaruka now niko Tanzania , Next month Majukumu Slovenia aaaa
Nanyegeire WaituWaitu nyegera na akanyeto!
Watakupiga kisigino Cha ugoko😂😂😂😂😂😂Usicheze na waliokutangulia town
HahahaWatakupiga kisigino Cha ugoko😂😂😂😂😂😂
Anhaaa homeboy vile.Nagaruka nagaruka now niko Tanzania , Next month Majukumu Slovenia aaaa
Decay....!!!!!😮Mkuu acha kwanza nimalize yaliyo nimetoa Dodoma, wakati Decay ikiendelea kule CHATO
Yupo hapa hapa alishachoshwa na siasa za wasiojulikanaOhhoo Kalamu habari za siku hizi @tindo1 yuko wapi siku hizi
🤣🤣🤣🤣duuhNchi imeondokana rasmi na laana.
Kabisa yaani. Nimefurahi sana Mangula kung'oka.Siasa za chuki na kuwindana kama Digidigi hazina nafasi katika Nchi yetu Tanzania.
Usicheze na waliokutangulia town
HahaDecay....!!!!!😮
Una ka lifestyle flani hivi. Yani unapoteaga ukiibuka ni mfululizo wa thread na comments halafu baadaye unapoteaMajukumu yameisha Now we are free!
Kwanza pongezi Kwa kuendelea kulisukuma gurudumu la habari hapa!
Kuna Mikakati Muhimu sasa tutaanza kujua kabla ya wengine,
Be the first to know!!
Britanicca
Haha niaje lakin majukumuUna ka lifestyle flani hivi. Yani unapoteaga ukiibuka ni mfululizo wa thread na comments halafu baadaye unapotea
HahahahTeam msoga mnatembea mnakenua kenua tu, mwaka wenu huu [emoji23]