Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie The Finest anatafutwa huku...mmmmmmhhhhhhhh
<br />hii sredi ilikuwepo, ikapotezewa, sasa naona mwenyewe kairudisha upyaaa...there must be something behind....kama vipi msituchoshe
Jux
Hivi ilikuwaje ile thread ya mwanzo ikafutwa?
Hivi kumbe imefutwa???!!!!!
hii sredi ilikuwepo, ikapotezewa, sasa naona mwenyewe kairudisha upyaaa...there must be something behind....kama vipi msituchoshe
Mwambie The Finest anatafutwa huku...
Hii nayo mida yake inahesebika!!
Sasa huyo TF naye yuko wapi??? Hajui kwamba bahati haiji mara mbili??
MJ1, LD, Asprin, RR, St....Please niletee huyo mjuu aje akaone jinsi alivyobarikiwa na kutunukiwa leo, tena mchana kweupeee!!!
Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje