I think i'm in love ila sijui nifanyeje?

I think i'm in love ila sijui nifanyeje?

Sijui kama nafanya makosa kuwa open kuwa nampenda mtu fulani maana naona watu wananifikiria vibaya
 
Hawakumtendea haki kwa kuifuta thread yake ndo maana kaamua aanzishe nyengine :]

Hata mi nilishangaa imepotezewa, BUT kwa memba 'mpya' kuwa na uwezo wa kuanzisha nyengine within hours on the same subject, I am suspicious....
 
Hata mi nilishangaa imepotezewa, BUT kwa memba 'mpya' kuwa na uwezo wa kuanzisha nyengine within hours on the same subject, I am suspicious....

Kaizer.....hata kama huyu ni memba mkongwe kama Kigagula na kuamua kufanyiwa facelift, haiondoi haki yake ya kuanzisha thread ya namna hii.

Ilipofutwa nafsi yangu walinikwaza, maana tumechangia kisha inafutwa bila msingi! Stahili yao kuanzishwa nyengine within hours 😀
 
Hujajua kutumia kitufe cha &quot;Private Message au PM&quot;.<br />
Omba watu wakuelekeze ili usichoshe wengine. <br />
Ni mtazamo tu..
<br />r />Asante Mkeshaji
 
Sijui kama nafanya makosa kuwa open kuwa nampenda mtu fulani maana naona watu wananifikiria vibaya

Huna kosa lolote, mbona kila siku watu wenye kujitambulisha kuwa wanaume wanaanzisha thread za mfano huu na hawapigiwi mayowe?
 
Kaizer.....hata kama huyu ni memba mkongwe kama Kigagula na kuamua kufanyiwa facelift, haiondoi haki yake ya kuanzisha thread ya namna hii.

Ilipofutwa nafsi yangu walinikwaza, maana tumechangia kisha inafutwa bila msingi! Stahili yao kuanzishwa nyengine within hours 😀


hahahah you 'naughty' Gaijini

labda aliingiza sipo

ndo nimemwelekeza pa kuingizia
 
Mwemwele mwemwelee......kumbe kamoyo kako kamemdondokea TF! Kaujumbe katakuwa kamefika ila kajaribupo na kumtumia kaPM umsikie na yeye mwenyewe atakwambia nini! Usikae na kasimanzi karoho ni kabaya!
 
ngoja niweke kizuizi kwenye screen yangu....ili damu zikianza kuruka isichafuke.......
 
hata mi nilishangaa imepotezewa, but kwa memba 'mpya' kuwa na uwezo wa kuanzisha nyengine within hours on the same subject, i am suspicious....

You are a great thinker.
Ndo maana niliandika kutoa maoni yangu huko juu, wanaojifanya "wamiliki" wa hili jukwaa wakanijia juu.
Kiukweli kuna watu kama watatu hivi behind this thread.
Hamjiulizi kwa nini mods waliifyekelea mbali.
Mods tunaomba muondoe na hii tafadhali na kumpiga ban huyu memba "mpya", kwani anawakaidi.
 
Duh nahisi mdada upo serious anyway mtumie Private msg au kama vipi cheki nae jumapili saa 8 mchana pale Rombo Green View Hotel,

Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
 
Back
Top Bottom