nakuunga mkono ndugu, maana hata mm kuna member nampenda humu ndani sema ndiyo hivyo. sielewi kama ni mwanaume au la!
Itakuwa mimi tu.
Mi ni ME.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakuunga mkono ndugu, maana hata mm kuna member nampenda humu ndani sema ndiyo hivyo. sielewi kama ni mwanaume au la!
Hiyo Avatar tu kichefuchefu
It was nice having you on this thread, you can go now
Ciao ciao
nakuunga mkono ndugu, maana hata mm kuna member nampenda humu ndani sema ndiyo hivyo. sielewi kama ni mwanaume au la!
hahaha Gaijin. of all the things how come you judge a book by its cover? hao ni mawaziri wetu wakiwa kwen starehe...si Juma huyo akiwa sijui Mango garden?
Hebu mtaje Lisa.......maana usife nalo moyoni bure...
<br />
<br />
jina lako linafanana na la mtu flani hv.
Br we acha tu, maana kila siku namfikiria alivyo namtengeneza kichwani mwangu lkn mwisho ni kuwa ni wa aina gani mume au mke?
naogopa pia nami kiutaja kaka.
<br />Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
<br /><font size="4"><span style="font-family: century gothic">Mhhhhhh! LOL! Mzima Husninyo? Mie poa kabisa. Kuna uwezekano huyo mtu fulani tuna undugu naye wa karibu <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /><br />
</span></font><br />
<br />
<a href="http://www.youtube.com/watch?v=6_5D4y6x-oo" target="_blank">Edward Maya & Mia Martina - Stereo Love - YouTube</a>
Yaani nikumuona huyo Kapuya hapo anavyontibua we acha tu.
Mtu hana class hata kidogo....yaaak!!
<br />nakuunga mkono ndugu, maana hata mm kuna member nampenda humu ndani sema ndiyo hivyo. sielewi kama ni mwanaume au la!
<br />
<br />
khaaa! Naona humu ndani kila mtu ana kichwa chake anachokizimia.
Lisa mtaje tu.....Jux huyo hapo kamtaja sasa roho kwatu! Kwanini ujivunge? Kama ni mwanamke utapata kufocus pengine atii
wewe kama huna shauri lako
<br />Nimetokea kumpenda member wa hapa JF anaitwa The Finest ila tatizo ni kwamba simjui sielewi labda inawezekana akawa ni mume wa mtu vile vile ila kiukweli i have feelings for him ila sijui nianzeje
Sijui kama nafanya makosa kuwa open kuwa nampenda mtu fulani maana naona watu wananifikiria vibaya
<br />Mmmh ww nawe umezidi kama wampenda si u pm mkutane ya nn kuchosha watu humu?ww kama humjui mm ntamjuaje! Nahisi ww ndo The Finest mwenyewe unakuja kutuzuga tu hapa. Mnalishushia hadhi hili jukwaa.