I want me a female very intelligent friend

I want me a female very intelligent friend

Just a friend, Who needs two wife's these days, while we have all this women and girls blaming us if it's not money then it's kibamia if it's not kibamia then stamina if it's not that then my be it too much, either way they will find a way to undermine a nigger so that they feel a little bit good about they are insecurities

Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry! I've no bad intention with you / I didn't mean to offend you, whats your gender?

ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ "ᴷⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ"
 
Unaniandikia kizungu umenisomesha wewe????(alisikika dada chaupele)
 
Hichi sio kiingereza Mkuu ni mayai viza kama alivyotangulia kusema mdau mmoja hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app


Hicho ni kiingereza cha aina yake, mfano kuna kiingereza cha Jamaica, Wales, Scotland, Canada, USA, England, Ebonics na Slang ya baadhi ya African Americans nk, hivyo kusema kwamba hicho sio kiingereza (English) sio sawa ila unaweza kusema hicho sicho kiingereza fasaha ukilinganisha na kiingereza cha England (London).

Hii ni sawa na Kiswahili, kuna "viswahili" vya aina mbalimbali kama ilivyo kwa kiingereza.
 
Heri ungeandika kiswahili tu.. kuliko kuandima kiingereza cha chini ya mwembe khaaa...
 
Heri ungeandika kiswahili tu.. kuliko kuandima kiingereza cha chini ya mwembe khaaa...
Unajua Pamie nikuwa na sababu zangu kuandika kingereza hicho na nadhani hata sheria za jf zinanipa uhuru wa kufanya hivyo, ndo maana naipenda jf uhuru, ila tatizo nimeona watu wako very traditional wamekariri kama kitu mtu haelewi anaona ni Makosa kumbe kipo nje ya upeo wake watu wanadis hili ni jukwaa la mapenzi diss za nini

Uhuru wangu nautumia kuandika ninavyoona itafaa ukiona hujaelewa jua haukuwa mlengwa, walengwa washafanya kuja inbox

Sio kila kitu lazma uelewe wakati mwingine nyamaza ujifunze, na sio kila kitu ni kuhusu ww wakati mwingine ww sio mlengwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua Pamie nikuwa na sababu zangu kuandika kingereza hicho na nadhani hata sheria za jf zinanipa uhuru wa kufanya hivyo, ndo maana naipenda jf uhuru, ila tatizo nimeona watu wako very traditional wamekariri kama kitu mtu haelewi anaona ni Makosa kumbe kipo nje ya upeo wake watu wanadis hili ni jukwaa la mapenzi diss za nini

Uhuru wangu nautumia kuandika ninavyoona itafaa ukiona hujaelewa jua haukuwa mlengwa, walengwa washafanya kuja inbox

Sio kila kitu lazma uelewe wakati mwingine nyamaza ujifunze, na sio kila kitu ni kuhusu ww wakati mwingine ww sio mlengwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom