I want me a female very intelligent friend

Sorry! I've no bad intention with you / I didn't mean to offend you, whats your gender?

ᡀʰᡉ ᢠⁱʳ˒ᡗ Κ³α΅˜Λ‘α΅‰ α΅’αΆ  ʷᡃʳ α΅ƒβΏα΅ˆ α΅‡α΅˜Λ’Λ’β±βΏα΅‰Λ’Λ’ ⁱ˒ "ᴷⁿᡒʷ ΚΈα΅’α΅˜Κ³ ᡉⁿᡉᡐʸ ᡇᡉᡗᡗᡉʳ"
 
Unaniandikia kizungu umenisomesha wewe????(alisikika dada chaupele)
 
Hichi sio kiingereza Mkuu ni mayai viza kama alivyotangulia kusema mdau mmoja hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app


Hicho ni kiingereza cha aina yake, mfano kuna kiingereza cha Jamaica, Wales, Scotland, Canada, USA, England, Ebonics na Slang ya baadhi ya African Americans nk, hivyo kusema kwamba hicho sio kiingereza (English) sio sawa ila unaweza kusema hicho sicho kiingereza fasaha ukilinganisha na kiingereza cha England (London).

Hii ni sawa na Kiswahili, kuna "viswahili" vya aina mbalimbali kama ilivyo kwa kiingereza.
 
Heri ungeandika kiswahili tu.. kuliko kuandima kiingereza cha chini ya mwembe khaaa...
 
Heri ungeandika kiswahili tu.. kuliko kuandima kiingereza cha chini ya mwembe khaaa...
Unajua Pamie nikuwa na sababu zangu kuandika kingereza hicho na nadhani hata sheria za jf zinanipa uhuru wa kufanya hivyo, ndo maana naipenda jf uhuru, ila tatizo nimeona watu wako very traditional wamekariri kama kitu mtu haelewi anaona ni Makosa kumbe kipo nje ya upeo wake watu wanadis hili ni jukwaa la mapenzi diss za nini

Uhuru wangu nautumia kuandika ninavyoona itafaa ukiona hujaelewa jua haukuwa mlengwa, walengwa washafanya kuja inbox

Sio kila kitu lazma uelewe wakati mwingine nyamaza ujifunze, na sio kila kitu ni kuhusu ww wakati mwingine ww sio mlengwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…