Anza na jezika kwanza kama kweli wewe kidume
Mkuu Kisandu weka wazi msaada gani unauhitaji kutoka kwetu?
namna ya kuandika barua ya posa au unataka mshenga?
Haya. Ukishatoa mahari usisahau kunipa card ya mwaliko. Japo nije nishuhudie ndoa yenu na Sasha Obama
Shit
Kumbe una akili timamu ila unapenda kujitoa ufahamuJesca nikikorofishana naye tu, baba yake atanitumbua.
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Anza na jezika kwanza kama kweli wewe kidume
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu Kisandu weka wazi msaada gani unauhitaji kutoka kwetu?
namna ya kuandika barua ya posa au unataka mshenga?
My dear Tanzanians, wanawake wa Kitanzania hawako serious na kuolewa, wengi wana macho mengi.
Nimeonelea nikipata mtoto wa Kiongozi mstaafu wa Dunia Sasha Obama, nitatulia na moyo wangu kuwa satisfied, hali yangu kiuchumi sio kigezo bali kigezo ni mke.
Nisaidieni mimi Deogratius Kisandu.
View attachment 487563
Aisee, hilo haliwezekani mkuu, ni sawa na SHETANI kutamani kwenda MBINGUNI.