I wish Freeman Mbowe a very happy birthday indeed

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu mtu muhimu sana kwenye siasa za ukombozi wa nchi hii leo anatimiza miaka kadhaa tangu azaliwe , kiukweli nitakuwa mchoyo wa fadhila nikishindwa kumpongeza shujaa huyu wa Taifa , ambaye ametumia Utajiri wake wote kupigania ukombozi , kila mtu aliyejitutumua kupambana naye watawala wamempandisha cheo .

Mungu mbariki Mbowe , mpe maisha marefu .

 
nami pia naungana nawewe kwaniaba ya wana ukonga tunamtakia maisha marefu azidishe mapambano sie tupo nae bega kwa bega
 
HBD MH.Freeman ; Kiongozi no.1 anaelidwa na kufuatiliwa maisha na mawasiliano yake kwa nia OVU 24hrs,na wasiojukikana! Mungu azidi kukulinda upiganie utu,haki na usawa katika taifa letu.(Mbowe 1= Nyumbu wa Lumumba 3M)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…