kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HBD Halima, pole kwa yote and get well soon.
P
Katika wabunge ambao wakihama chama CDM mimi siwezi kukubali mmoja wapo ni huyu mama
Nipo sana tu, hili la kuandamwa nimelizoea, lilianzia lile swali langu la Ikulu, wale 'jamaa' wakaniweka kwenye blacklisted, ikaja kuhojiwa na Kamati ya Bunge, sasa ni zamu ya JF.Pascal upo ndugu yetu, naona siku hizi watu wamekuandama sana
In God we Trust
Kwa nini usiwajumlishe wote tu wapate waume wa kuwaoa au Ester ana mme?Ni muda wa yeye kuachana na Ester Bulaya na kupata Mme halali Yani aolewe na mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanikosea sana mkuu, maana wewe umenizidi kwa uharibifu..teh[emoji23]Hapana hatukupi, usije kumharibu mama yetu
Nina shida nae ya kikamanda zaidi...teh[emoji23]Ya kazi gani tena ?
[emoji16][emoji1][emoji2960]Ni muda wa yeye kuachana na Ester Bulaya na kupata Mme halali Yani aolewe na mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo sana tu, hili la kuandamwa nimelizoea, lilianzia lile swali langu la Ikulu, wale 'jamaa' wakaniweka kwenye blacklisted, ikaja kuhojiwa na Kamati ya Bunge, sasa ni zamu ya JF.
Kwangu yote haya ni mapito tuu na yatapita.
P
Wacha wivu wewe, yaani unataka uchukue nafasi yake?Ni muda wa yeye kuachana na Ester Bulaya na kupata Mme halali Yani aolewe na mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usihangaike na huyo kapukuWacha wivu wewe, yaani unataka uchukue nafasi yake?
In God we Trust