financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
[emoji3] [emoji3] ni kweli lkn , wee mtoa mwaliko una lengo gani na ndugu zetu hiyo tar???,hope ni Kwa nia njema tuu.Napenda kweli asali ila najua nyuki wanaweza kukuua.
Mimi na Lizaboni tunaingiaje kikao kimoja?[emoji3] [emoji3] ni kweli lkn , wee mtoa mwaliko una lengo gani na ndugu zetu hiyo tar???,hope ni Kwa nia njema tuu.
Najaribu kupitia sifa za waliotajwa. Kuna vichwa napata hofu kutajwa nao kundi moja...🙂😱
Umenisisimua...
Heee [emoji12]Mimi na Lizaboni tunaingiaje kikao kimoja?
Mara ya mwisho nimemsoma mtoa mada alikuwa na asili ya Rwanda...😳😳😳Heee [emoji12]
Minjingu kuna airport?Nitumie nauli ya ndege nije na mimi huko mlimani siti.
ila dada hayo mapaja. Nami najitosa sijali UWT wala nini potelea mbaliHello friends, you are most welcome on 23/09/2018,
I would like to welcome these friends to meet me
1.@Gudumee
2. @Prondo
3. venchwa
4. BAK
5. Trabbit
6. GENTAMYCINE
7. Lizaboni
8. The Icebreaker
9. Masaki
10. Kichwa Kichafu
11. mahondaw
GT ulirekebisha id yako? Nakumbuka ilikuwa inaanza na P PRONDO ila sasa ni RRONDOMara ya mwisho nimemsoma mtoa mada alikuwa na asili ya Rwanda...😳😳😳
Naunga mkono hoja...Ngoja nipishe waliotajwa[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi na Lizaboni tunaingiaje kikao kimoja?
90% ya JF members see PRONDO and not RRONDO. Nimeacha kurekebisha watu.GT ulirekebisha id yako? Nakumbuka ilikuwa inaanza na P PRONDO ila sasa ni RRONDO
I sit not to be corrected!
Ohooo, kuweni makini mliopewa huo mwalikoMnywaranda ulie omba kufikia kwa mtu.. naona sasa umekuea mwenyeji. Mbona hukurudi kwenu kwa uongo?
Naona bado unayako ya ujanja ujanja..
Halafu wanachekelea tu, kisa avatar inaitaNaona mtego umekwisha wiva ...... delila girl
huyo hataki watanashati, na mwenzio pale anajiita bishoo nae kapgwa chiniHance Mtanashati
Ipo maeneo ya Mpanda HotelNdio Wapi Huko Mlimani City? Ipo Mkoa Gani?
Kama Ipo Hapa Katavi Niambie Niiulizie Nami Nije Kujumuika Nanyi.