I would like to meet these members on 23/09/2018 at Mliman city,

I would like to meet these members on 23/09/2018 at Mliman city,

Nashukuru kwa Kunitaja na kuwa na hamu ' iliyotukuka ' ya kutaka Kuonana na Mimi hapo Mlimani City ila labda leo nikuambie tu ukweli na kwa faida ya wengine ni kwamba sipo sasa huko Tanzania kwa muda mrefu na huu unaweza ukawa ni mwaka hata wa 5 au wa 6 sipo huko na naendelea tu na Kazi zangu za Ukulima, Ufugaji na Uvuvi huku Kwetu nchini Rwanda katika Mkoa wa ' Watutsi ' asilia wa Gisenyi. Ila naamini hao wengine waliobaki hapo utawapata na watakuja tu na ukiweza nifikishe sana Salamu zangu za dhati Kwao.
Ulishaondoka Portorica
 
Back
Top Bottom