Naenda KIA.Minjingu kuna airport?
Sijajua kama wale wenye akili kubwa watafanya hayo unayotaka.Hello friends, you are most welcome on 23/09/2018,
I would like to welcome these friends to meet me
1.@Gudumee
2. @Prondo
3. venchwa
4. BAK
5. Trabbit
6. GENTAMYCINE
7. Lizaboni
8. The Icebreaker
9. Masaki
10. Kichwa Kichafu
11. mahondaw
Ndege anapaswa kuwekwa kwenye boksi. Akutumie boksi 😂😂😂😂Nitumie nauli ya ndege nije na
mimi huko mlimani siti.
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛Ndege anapaswa kuwekwa kwenye boksi. Akutumie boksi 😂😂😂😂
Utabroo na roho yako pale mtakapokutana na kujikuta wewe ni mwanaume na hao wote ni wanawake ila ID zao za Kiume na wewe ID yako ya kike, hivyo ndo vibweka vya JFHello friends, you are most welcome on 23/09/2018,
I would like to welcome these friends to meet me
1.@Gudumee
2. @Prondo
3. venchwa
4. BAK
5. Trabbit
6. GENTAMYCINE
7. Lizaboni
8. The Icebreaker
9. Masaki
10. Kichwa Kichafu
11. mahondaw
Hello friends, you are most welcome on 23/09/2018,
I would like to welcome these friends to meet me
1.@Gudumee
2. @Prondo
3. venchwa
4. BAK
5. Trabbit
6. GENTAMYCINE
7. Lizaboni
8. The Icebreaker
9. Masaki
10. Kichwa Kichafu
11. mahondaw
Asee huku ndio mitaani kwangu, si tungeungana undugu siku hiyo na mimi walau niwe nasevu sevu labda nitaambulia kidogo.Hello friends, you are most welcome on 23/09/2018,
I would like to welcome these friends to meet me
1.@Gudumee
2. @Prondo
3. venchwa
4. BAK
5. Trabbit
6. GENTAMYCINE
7. Lizaboni
8. The Icebreaker
9. Masaki
10. Kichwa Kichafu
11. mahondaw
We endelea kutengeneza makabat huko namtumbowhat about @fundibishoo ?
aaaah aiseeh mwaka huu sina bahati kabisaWe endelea kutengeneza makabat huko namtumbo
Mtoa mada ni wa huko huko kwenu mkuu, usimuogope wa nyumbani.Nashukuru kwa Kunitaja na kuwa na hamu ' iliyotukuka ' ya kutaka Kuonana na Mimi hapo Mlimani City ila labda leo nikuambie tu ukweli na kwa faida ya wengine ni kwamba sipo sasa huko Tanzania kwa muda mrefu na huu unaweza ukawa ni mwaka hata wa 5 au wa 6 sipo huko na naendelea tu na Kazi zangu za Ukulima, Ufugaji na Uvuvi huku Kwetu nchini Rwanda katika Mkoa wa ' Watutsi ' asilia wa Gisenyi. Ila naamini hao wengine waliobaki hapo utawapata na watakuja tu na ukiweza nifikishe sana Salamu zangu za dhati Kwao.
Umetajwa mpaka unashukuru?Urakozeh....[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Ohhhooooo.....Umetajwa mpaka unashukuru?
hahaaaNgoja nipitie comments na posts zangu kama zimeanza kuwa na ukakasi...
ha haaaNajaribu kupitia sifa za waliotajwa. Kuna vichwa napata hofu kutajwa nao kundi moja...🙂😱