AiseeHehehehehehehehheeee
Nimekumbuka tangazo la Coca-Cola..... Onja Msisismkoo....... Halafu mafundo ya Coca-Cola yanavyoshuka kwenye koo lenye koromeo.... Mwanamke unalowa kwa midadi ya kunyonywa na kutafunwa.....
Uuhhh sorry, sijui nimepunguza msisimko au nimeuongeza.....
Na yule boyfriend wako uliempata hapa JF pia yupo kwenye list au mlishaachana?
Maswali yote haya hujaulizia chura?! Kuna mtu ame-hack akaunti yakoProndo ni nana?Marafiki zako hata ID zao huzijui vizuri?
[emoji23][emoji23][emoji23]Maswali yote haya hujaulizia chura?! Kuna mtu ame-hack akaunti yako
Yaani juu ya kilima kuna city maana koromije huku hamna hivi vitu babyKichwa Kichafu babe unapajua mlimani city??
Yaani juu ya kilima kuna city maana koromije huku hamna hivi vitu baby
itakuwa wali-hack si kawaida yake huyoMaswali yote haya hujaulizia chura?! Kuna mtu ame-hack akaunti yako
ndio maana ulipo nipo hata kama kuna noah za blueSasa mchumba ndo umeitwa huko mlimani city ila angalia sana nissan nyeupe ama noah zile bado zipo ujue
Ntakutaja babyHivi huu Ni ukanda au ukabila au niiteje sijawahi tajwa kokote hapa jf
UwiiiiNaona wote wanywa soda. Siku ukiitisha mkutano wa wanywa beer usinisahau.
Nitaje kwanza mtoto wa kishuaNtakutaja baby
Kwetu NgaraMnywaranda ulie omba kufikia kwa mtu.. naona sasa umekuea mwenyeji. Mbona hukurudi kwenu kwa uongo?
Naona bado unayako ya ujanja ujanja..
WOraho wiriwe shahNashukuru kwa Kunitaja na kuwa na hamu ' iliyotukuka ' ya kutaka Kuonana na Mimi hapo Mlimani City ila labda leo nikuambie tu ukweli na kwa faida ya wengine ni kwamba sipo sasa huko Tanzania kwa muda mrefu na huu unaweza ukawa ni mwaka hata wa 5 au wa 6 sipo huko na naendelea tu na Kazi zangu za Ukulima, Ufugaji na Uvuvi huku Kwetu nchini Rwanda katika Mkoa wa ' Watutsi ' asilia wa Gisenyi. Ila naamini hao wengine waliobaki hapo utawapata na watakuja tu na ukiweza nifikishe sana Salamu zangu za dhati Kwao.
roselina john Asante sana kwa mualiko ila kutokana na sababu zisizozuilika sidhani kama naweza hudhuria,next time Mungu akipenda,Hello friends, you are most welcome on 23/09/2018,
I would like to welcome these friends to meet me
1.@Gudumee
2. @Prondo
3. venchwa
4. BAK
5. Trabbit
6. GENTAMYCINE
7. Lizaboni
8. The Icebreaker
9. Masaki
10. Kichwa Kichafu
11. mahondaw
roselina john Asante sana kwa mualiko ila kutokana na sababu zisizozuilika sidhani kama naweza hudhuria,next time Mungu akipenda,
Good luck
Mkuu unajua nipo wapi? Sisi wabeba box mkuu.Mkuu hata Wewe unaogopa ' Kutekwa ' Mlimani City? Acha uwoga bhana hebu nenda ukatuwakilishe tulio mbali na Tanzania yenu huko tafadhali.