una bebea box wap mkuu nna hamu ya kuishi mbali na TanzaniaMkuu unajua nipo wapi? Sisi wabeba box mkuu.
Ulishaondoka PortoricaNashukuru kwa Kunitaja na kuwa na hamu ' iliyotukuka ' ya kutaka Kuonana na Mimi hapo Mlimani City ila labda leo nikuambie tu ukweli na kwa faida ya wengine ni kwamba sipo sasa huko Tanzania kwa muda mrefu na huu unaweza ukawa ni mwaka hata wa 5 au wa 6 sipo huko na naendelea tu na Kazi zangu za Ukulima, Ufugaji na Uvuvi huku Kwetu nchini Rwanda katika Mkoa wa ' Watutsi ' asilia wa Gisenyi. Ila naamini hao wengine waliobaki hapo utawapata na watakuja tu na ukiweza nifikishe sana Salamu zangu za dhati Kwao.
Utakuwa unanyota ya ngedereHivi huu Ni ukanda au ukabila au niiteje sijawahi tajwa kokote hapa jf
Inakaa mabegani au wapi kama ni mabegani sina nyota mkuuUtakuwa unanyota ya ngedere
Mimi jeHello friends, you are most welcome on 23/09/2018,
I would like to welcome these friends to meet me
1.@Gudumee
2. @Prondo
3. venchwa
4. BAK
5. Trabbit
6. GENTAMYCINE
7. Lizaboni
8. The Icebreaker
9. Masaki
10. Kichwa Kichafu
11. mahondaw
Na mimi nimeamka nijiandae nimegundua hajaweka muda.Nashukuru kwa mwaliko.hujataja saaa na particular place.m city ni kubwa.
GuDume hii siyo tenda ya kula papuchi please!Nashukuru kwa mwaliko.hujataja saaa na particular place.m city ni kubwa.
Na mimi nimeamka nijiandae nimegundua hajaweka muda.
Njoo hapa samaki samaki unipe kampani kumsubiri hostess wetu.Niko bulls park hapa nasogea eneo la tukio ili nikaandike habari Vizuri
Njoo hapa samaki samaki unipe kampani kumsubiri hostess wetu.
Hahaha mtupe mapicha picha wakuuMpaka muda huu nipo hapa mlimani city sijui hata tunakutania wapi.
Hostess kaingia mitini, namalizia game ya Arsenal hapa samaki samaki naondoka zanguHahaha mtupe mapicha picha wakuu
Ngoja akutane na dushe la Mshana JrHao wanaume wote 11 unataka uwafanye nn? Utawaweza wote..? Can you handle all of them at once? alafu mtu ukizimia ufe uje useme umebakwa? Max unaweza wahandle 3 men at once kama ww ni kungwi..!!
Hahaha, ila kajitahidi kutoa ofa ,ingawa kdg ...Hostess kaingia mitini, namalizia game ya Arsenal hapa samaki samaki naondoka zangu
Na zungumzia nyota ya bahatiInakaa mabegani au wapi kama ni mabegani sina nyota mkuu
SureNitumie nauli ya ndege nije na mimi huko mlimani siti.
Vip ulifanikiwa kuonana na hao memba huko mlimani city hata mmojaSure