IAAF yadorora huko Nairobi

Kwanza tafuta wakimbiaji ndani ya danganyika, ukirejea tutajadiliana kama equals.
Wanakuwa Wanakimbia nini?, wanafukuzwa na Alshabaab?
Sisi sio wawindaji bwana, spare us for Good.
 
wakenya nawapenda sana,yaani mnauzalendo wa kweli, hamtaki kuona mtu asiye mkenya akikosoa mambo ya kenya,thats good,pale asiye mkenya akisema vibaya kuhusu kenya mnungana na kumshambulia kwa maneno yote na ya lugha zote
Hiyo kitu ni nzuri pia, ni kitu ya Kujifunza from Kenyans.
Watz wengi hatujui where to present our opinions.
 
Njoo ufagie
Hehe,yaani ktk post [HASHTAG]#120[/HASHTAG] hadi [HASHTAG]#124[/HASHTAG],page nzima ya uzi ni jamaa kulialia tu!Nakumbuka wimbo flani wa jd,wanaume kama mabinti!Kenya inaumiza ya watu mioyo aisee!
 
kenya ilipoanza iliileta timu gani?
 
"povu" like this normally comes after seing a clear a sign of losing.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
it is now official,popular rnb singer and one of the world's first class celebrity usher Raymond,is/was in LDC for a vacation.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

majirani wanakodoa kodooooo
 
Wanakuwa Wanakimbia nini?, wanafukuzwa na Alshabaab?
Sisi sio wawindaji bwana, spare us for Good.
Sawa, kuna kitengo cha kutemeba kwenye haya mashindano 10,000 m race walk. Mmeshindwa kukimbia, vipi na kutembea? Sasa kizingizio chako nini?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sawa, kuna kitengo cha kutemeba kwenye haya mashindano 10,000 m race walk. Mmeshindwa kukimbia, vipi na kutembea? Sasa kizingizio chako nini?

Post sent using JamiiForums mobile app
Punguza stress dude..
Wacha kutupangia cha kufanya.
 
Bora uongee kingereza tu maana kiswahili hujui et "iko na"[emoji13] [emoji13] [emoji13]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
For sure bendera yenu ni mbaya rangi zake utazani bendera ya chama cha wanywa damu au witchcraft Republic, ugliest flag ever
Huyo wa katikati ni shoga. Au. [emoji3] [emoji3]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hahaha kenyans bana. .mnasura mbaya kichizi. Sio me sio ke wote wabovu hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
You have things to do wakati unemployment rate iko juu Kenya kuliko tz!

Nenda darasani!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Unemployment iko juu kwa kuwa kuna watu mingi sana ambao ni over qualified!!

Huko kwenyu mkuu wa mkoa wa dar ana vyeti vya uganga wa kienyeji ambayo ameshindwa hata kuiweka hadharani.
 
Unemployment iko juu kwa kuwa kuna watu mingi sana ambao ni over qualified!!

Huko kwenyu mkuu wa mkoa wa dar ana vyeti vya uganga wa kienyeji ambayo ameshindwa hata kuiweka hadharani.
Huu ujumbe wako mpelekee ofisini kwake, Unafaham ofisi yake ilipo nenda kamwambie!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Hahaha kenyans bana. .mnasura mbaya kichizi. Sio me sio ke wote wabovu hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Wanawake wengi wa kitz wana ndevu aisee,hilo nimeshuhudia mwenyewe.Lakini sisemi kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…