game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Wanakuwa Wanakimbia nini?, wanafukuzwa na Alshabaab?Kwanza tafuta wakimbiaji ndani ya danganyika, ukirejea tutajadiliana kama equals.
Sisi sio wawindaji bwana, spare us for Good.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwa Wanakimbia nini?, wanafukuzwa na Alshabaab?Kwanza tafuta wakimbiaji ndani ya danganyika, ukirejea tutajadiliana kama equals.
Hiyo kitu ni nzuri pia, ni kitu ya Kujifunza from Kenyans.wakenya nawapenda sana,yaani mnauzalendo wa kweli, hamtaki kuona mtu asiye mkenya akikosoa mambo ya kenya,thats good,pale asiye mkenya akisema vibaya kuhusu kenya mnungana na kumshambulia kwa maneno yote na ya lugha zote
hapa Karasani ni Pachafu sana
Njoo ufagiehapa Karasani ni Pachafu sana
Hehe,yaani ktk post [HASHTAG]#120[/HASHTAG] hadi [HASHTAG]#124[/HASHTAG],page nzima ya uzi ni jamaa kulialia tu!Nakumbuka wimbo flani wa jd,wanaume kama mabinti!Kenya inaumiza ya watu mioyo aisee!Njoo ufagie
kenya ilipoanza iliileta timu gani?ndio maana huwa tunawaambia nyinyi ni mazumbukuku kila uchao..hata kitu simple hamwelewi...wewe unaelewa marketing?....Sportpesa ilileta Everton TZ ili kumarket kampuni hio nchini humo...tayari Kenya ikona watumizi wengi sana...hii ni njia ya upanuzi...tumia akili hata kidogo tu my frend...next time the company will take another team to Nigeria or SA...does this now mean that there is a problem in East Africa??? smh
"povu" like this normally comes after seing a clear a sign of losing.[emoji23] [emoji23] [emoji23]unlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....besides, such games dont have high attendance, just check the previous games that took place in Poland and The Bahamas...even in London...just a few ppl in the field...we dont get overexcited because of youth games...mtu anawacha kazi yake kuenda kasarani..hehe...plus the thing is being viewed in SuperSport...kumalizia, hatuskii wivu...hatuwezi tukaskilia wivu nchi iliyo nyuma yetu...nchi LDC...tunafurahi sana kampuni yetu ya kikenya imeweza kuleta Rooney EA...fikiria kama sio sportpesa, which tz company has that muscle power..LOL!!!!
Rooney hata Bombadier hawez akapanda!!!
Sawa, kuna kitengo cha kutemeba kwenye haya mashindano 10,000 m race walk. Mmeshindwa kukimbia, vipi na kutembea? Sasa kizingizio chako nini?Wanakuwa Wanakimbia nini?, wanafukuzwa na Alshabaab?
Sisi sio wawindaji bwana, spare us for Good.
Punguza stress dude..Sawa, kuna kitengo cha kutemeba kwenye haya mashindano 10,000 m race walk. Mmeshindwa kukimbia, vipi na kutembea? Sasa kizingizio chako nini?
Post sent using JamiiForums mobile app
Bora uongee kingereza tu maana kiswahili hujui et "iko na"[emoji13] [emoji13] [emoji13]ndio maana huwa tunawaambia nyinyi ni mazumbukuku kila uchao..hata kitu simple hamwelewi...wewe unaelewa marketing?....Sportpesa ilileta Everton TZ ili kumarket kampuni hio nchini humo...tayari Kenya ikona watumizi wengi sana...hii ni njia ya upanuzi...tumia akili hata kidogo tu my frend...next time the company will take another team to Nigeria or SA...does this now mean that there is a problem in East Africa??? smh
***** stop lying budaa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]iyo ni yako...kenyan ladies are very beautiful...
Huyo wa katikati ni shoga. Au. [emoji3] [emoji3]For sure bendera yenu ni mbaya rangi zake utazani bendera ya chama cha wanywa damu au witchcraft Republic, ugliest flag ever
Unemployment iko juu kwa kuwa kuna watu mingi sana ambao ni over qualified!!You have things to do wakati unemployment rate iko juu Kenya kuliko tz!
Nenda darasani!
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Huu ujumbe wako mpelekee ofisini kwake, Unafaham ofisi yake ilipo nenda kamwambie!Unemployment iko juu kwa kuwa kuna watu mingi sana ambao ni over qualified!!
Huko kwenyu mkuu wa mkoa wa dar ana vyeti vya uganga wa kienyeji ambayo ameshindwa hata kuiweka hadharani.
Wanawake wengi wa kitz wana ndevu aisee,hilo nimeshuhudia mwenyewe.Lakini sisemi kitu!Hahaha kenyans bana. .mnasura mbaya kichizi. Sio me sio ke wote wabovu hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app