IAAF yadorora huko Nairobi

IAAF yadorora huko Nairobi

Told them we were working... Kenya is a working nation.
DExznMBXYAED9aw.jpg
DExxua5WAAUOB1z.jpg
DExwHPDW0AAHV_k.jpg
geza
kadoda11

Lol mtatii tumekuwa kazi wiki mzima sasa wikendi kutulia
 
Wanawake wengi wa kitz wana ndevu aisee,hilo nimeshuhudia mwenyewe.Lakini sisemi kitu!
Kenya sio mahali salama pa kuishi kabisa ..mna roho mbaya nyie watu sijapata kuona. Hamna utu hampendani, ukabila kila mahali hadi kanisani na misikitini, maendeleo kidogo mnayo. Ila maendeleo sehemu isiyo na amani ya kutosha hayana faida yoyote.

Halafu usifananishe wanawake wa tz na vitu vya kijinga. Wanawake wa Kenya sijui walimkosea nin Mungu [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama kuna dhambi mlifanya tubuni tu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hehe game ya gor na Everton niliona unemployment rate iko juu sana.. Kwani watu hawakuenda kazi ama hiyo siku ilifanywa public holiday

Sent from my TECNO-Y5S using JamiiForums mobile app
Hehehe kama walipea wanyama street haikosi Gor VS Everton ilikuwa public holiday ..kila mwaka wata commemorate hyo pia [emoji23][emoji23]
 
unlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....besides, such games dont have high attendance, just check the previous games that took place in Poland and The Bahamas...even in London...just a few ppl in the field...we dont get overexcited because of youth games...mtu anawacha kazi yake kuenda kasarani..hehe...plus the thing is being viewed in SuperSport...kumalizia, hatuskii wivu...hatuwezi tukaskilia wivu nchi iliyo nyuma yetu...nchi LDC...tunafurahi sana kampuni yetu ya kikenya imeweza kuleta Rooney EA...fikiria kama sio sportpesa, which tz company has that muscle power..LOL!!!!
Rooney hata Bombadier hawez akapanda!!!
Poorly said

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Wakenya wako jf ndio wanabembelezana na hawa waT.zombies.Ukweli ni kwamba wakenya wanawadharau sana juu tunaona venye mko down.your thinking are clouded with jealously.In nairaland at least one can gain something but not in jf.WaTz we are wasting time with u.Its true we can't learn anything from hawa WaTz
 
Kenya sio mahali salama pa kuishi kabisa ..mna roho mbaya nyie watu sijapata kuona. Hamna utu hampendani, ukabila kila mahali hadi kanisani na misikitini, maendeleo kidogo mnayo. Ila maendeleo sehemu isiyo na amani ya kutosha hayana faida yoyote.

Halafu usifananishe wanawake wa tz na vitu vya kijinga. Wanawake wa Kenya sijui walimkosea nin Mungu [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama kuna dhambi mlifanya tubuni tu.
Hehe Kenya si mahali salama pa kuishi?Uliza kakako ambaye ni ombaomba hapa Nairobi,yeye na watz wenzake.Wengine wamekaa Kenya miaka 20!Wakiomba tu,kila siku wanaokota mihela wanalisha hadi familia zao!Hadi na ndugu zao wakiwa huko huko tz.Roho mbaya ni kula nyama ya albino na ukoko wa wali!😀
 
Kenya sio mahali salama pa kuishi kabisa ..mna roho mbaya nyie watu sijapata kuona. Hamna utu hampendani, ukabila kila mahali hadi kanisani na misikitini, maendeleo kidogo mnayo. Ila maendeleo sehemu isiyo na amani ya kutosha hayana faida yoyote.

Halafu usifananishe wanawake wa tz na vitu vya kijinga. Wanawake wa Kenya sijui walimkosea nin Mungu [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama kuna dhambi mlifanya tubuni tu.

Post sent using JamiiForums mobile app
Guy.Stop feeding yourself with too much crup from Kenya's fourth estate.They pronounce most of these events with catchy headlines as a way of marketing.Stop using scapegoats za njaa,insekurity.,and kibera to massage your I go.
 
Kenya sio mahali salama pa kuishi kabisa ..mna roho mbaya nyie watu sijapata kuona. Hamna utu hampendani, ukabila kila mahali hadi kanisani na misikitini, maendeleo kidogo mnayo. Ila maendeleo sehemu isiyo na amani ya kutosha hayana faida yoyote.

Halafu usifananishe wanawake wa tz na vitu vya kijinga. Wanawake wa Kenya sijui walimkosea nin Mungu [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama kuna dhambi mlifanya tubuni tu.

Post sent using JamiiForums mobile app
Last time i checked there were far too many Tanzanian musicians opting to be based in Kenya but not vice versa, could it be that athari za kijiji bado zinakusumbua?
 
50,000 specators made it a magic night in Nairobi. The largest ever crowd at a World U18 Championships.
 
50,000 specators made it a magic night in Nairobi. The largest ever crowd at a World U18 Championships.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hamna kitu hapo....watu wamekaa kinyonge...inaonyesha wananjaa...hawana uhakika wa kupata mlo wa jioni.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
For sure bendera yenu ni mbaya rangi zake utazani bendera ya chama cha wanywa damu au witchcraft Republic, ugliest flag ever
Unaongelea bendera wewe?Ya tz huwa sielewi mnajisumbua sijui kuchapa gwaride na kuichapilia kwenye mlingoti ya nini?Mngeandika angalau hata methali moja au msemo flani hivi,kama 'Jino moja,mswaki wa nini?'ingeuza sana kwa wanadada wa E.Afrika.Hiyo mirangi aisee,hiyo ni kanga tu,hamna cha bendera wala nini hapo!
 
Back
Top Bottom