Ibada ya kumtukana shetani

Hivi unategemea kumwona shetani mwenyewe popote? Shetani anaweza akawa hata wewe
 
Hilo kanisa safi sana, waanzishe ibada ya kuwatukana mademu wanaosema tuma nauli na ya kutolea halafu wanazima simu
 
Shetani siyo adui..!?
 
Utamshinda shetani kwa matusi kweli? Nadhani atakuwa yeye ndiye bingwa wa kutukana mpaka matusi ambayo hatujayasikia. Ni kama vile padri anakwenda stendi kutukana wahuni wa pale. Hawezi kufua dafu.
🤣 🤣 🤣 😂
Pep
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…