Wa Saa 100 uko wazi kabisa kuwa alipewa bure kabisa. Ila wa Jiwe alikuwa anadai kuwa kausomeaUle wa Saa100 aliupataje???š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Saa 100 uko wazi kabisa kuwa alipewa bure kabisa. Ila wa Jiwe alikuwa anadai kuwa kausomeaUle wa Saa100 aliupataje???š¤£
Bure PhD TanošWa Saa 100 uko wazi kabisa kuwa alipewa bure kabisa. Ila wa Jiwe alikuwa anadai kuwa kausomea
Mchina anaweza kukupa PhD Bureš¤£Wa Saa 100 uko wazi kabisa kuwa alipewa bure kabisa. Ila wa Jiwe alikuwa anadai kuwa kausomea
Basi Jiwe atakuwa alipewa PhD na MchinaMchina anaweza kukupa PhD Bureš¤£
Angekufa sa100 kwanza!Ibada ya shukurani? Mnashukuru kwa kuwa kifo chake?
Hata mm nashukuru sana kwamba alikufa dikteta yule.
Kwa hiyo polisi hayo mambo hawayafahamu?Lissu alisema hataongelea kifo cha mzee Kibao. Kuna mambo alisema akiyaongea kuna watu wataikimbia nchi, sijui ni kina nani hao!
Upumbavu wa namna hii huwezi kuuona popote isipokuwa kwa wauaji na watetezi wa wauaji!Lissu alisema hataongelea kifo cha mzee Kibao. Kuna mambo alisema akiyaongea kuna watu wataikimbia nchi, sijui ni kina nani hao!
Kati yako na Lissu nani mpumbavu!Upumbavu wa namna hii huwezi kuuona popote isipokuwa kwa wauaji na watetezi wa wauaji!
Yule aliyetekwa akapelekwa kutupwa porini Katavi alisema alitekwa na watu gani?!Kwa hiyo polisi hayo mambo hawayafahamu?
Basi wamkamate Lissu ili asaidie kujua waliomuua mzee Kibao ni akina nani hasa.
Otherwise, Ni porojo za kijinga na kipumbavu tu.
Tatizo mnaotoka Kamageta mnataka kila mtu awe msabato. Wakatoliki wanaamini kuwa zipo sehemu tatu kwa wafu. Mbinguni, toharani na kuzimu (hell).Wafu wanaombewa ???
Haya maombi hayawezi kubadili chochote,kama alikufa akiwa mdhambi bila toba hali yake inabakia hivyo hivyo,
Kuna vitu havihitaji kutumia nguvu nyingi kujua ukweli