SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
CLEOPATRA WA MISRI YEYE ALING'ATWA NA NYOKA AKAFA HUCHEKI?
Huo haukuwa unabii ulikuwa uchawi wa kiwango cha democrasia. Kwetu tanga baba ananiambia alikuwa na mjomba wake anaweza kutembea kwenye mvua na akafika mkavu hata tone halimgusi akiulizwa imekuwaje anasema mvua inawanyeshea wanawake sio wanaume, pia alikuwa anaweza kunyoosha kidole likatoa mwanga kama tochi akatembea usiku mzima mwanha haupungui.mkuu nilibahatika kupata pia habari za Ng'wanamalundi,
Nabii huyu alikuja baada ya Ibambangulu,
Ng'wanamalundi alikuwa akitembea juu ya maji km Yesu, hadi wakoloni walikoma, alikuwa na uwezo wa kunyoosha kidole na mti unakauka papo hapo,
Kung'atwa Na Nyoka inaleta mantiki kuliko Kuku.Huyo Kuku alikuwa Na sumu au?
Kabla ya Ibambangulu na Mwanamalundi alikuwepo nabii Sitta. Huyu alitabili ujio was wakoloni na jinsi watakapotesa watu. Alitabiri pia kuzaliwa kwa mkombozi wetu JK Nyerere. Ukitaka historian yake fika Bariadi kijiji cha Kilulu (Gabu). Hapo kuna mlima au jiwe alilokuwa anapanda na kuongea na watu walio umbali was kilomita kumi na wakasilizana. Pia kuna picha ya mkewe kwenye jiwe. Picha hii haikubali kupigwa kwa kamera. Ukipiga litatoka jiwe tu bila picha. Kuna maajabu mengi tu ukifika Gabu. Huyu ndiye chanzo cha nabii Nindwa. Alikuwa na uwezo was kuunda jeshi kwa kutamka tu.
Ukweli yapo mengi.
Hakufa alipotea tu kwa hiyo hakuna anayejua kaburi lake.
Kuna wakati Wamasai huja kuhiji hapa sijajua uhusiano wa Sitta na wamasai. Kipindi cha vita ya wasukuma na wamasai walikuwa wakija wanasindikizwa na Polisi maana wasingerudi salama.
Kuna watu huwa anawatokea had I sasa japo siwezi kulithibitisha hili. Utalii huu.
Hehehe, Aisee wale wapiganaji ramlii na wachawi wa Zamani ndio wamekuwa ma nabiii.. Hihi! Aisee
siju kama alikuwa nabii ila jina lake lina maana ya muwamba mbingu nadhani alikuwa anawez kujaa ndani ya nyumba hadi inabomoka na kifo chake kilikuwa cha ajabu pia alijaa ndani ya nyumba na nsehemu ya ngozi yake ikatokeza kwenye ufa wa nyumba na kuku akamdonoa akafaHeshima kwenu Mabibi na Mabwana, Poleni na heka heka za maisha
Km kichwa cha habari kinavyosomeka, Imbangulu ni Nabii mtenda miujiza km ilivyokuwa kwa manabii wengine enzi hizo, inasemekana katk karine ya 19, Nabii huyu aitwaye Imbangulu alipata kutabiri kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mpigania uhuru mashuhuri wa Afrika aliyeleta changamoto kubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla.
Kama ilivyokuwa kwa manabii wengine ambao dini hudai habari za kuzaliwa kwao zilitabiriwa na manabii au nabii, basi hata kuzaliwa kwa Mwokozi wa Afrika na Tanganyika yaani Mwalimu kulitabiriwa na nabii wa Mungu aitwaye Ibambangulu, Nabii Ibambangulu inasemekana alikuwa Nabii mtenda miujiza, miujiza mingine aliyoitenda Ibambangulu inasemekana hata Yesu hakuwahi kuitenda, Ibambangulu alikuwa msukuma, alikuwa anaishi Magu ktk mkoa wa Mwanza.
Inasemekana Nabii huyu alikuwa na desturi ya kupanda mlimani na kutazama mashariki wakati anapotabiri kama alivyokuwa akifanya Yesu na manabii wengine wa kidini, hatimaye ilipofika mwaka 1922, Butiama, Mkoani Mara, Mwalimu alipata kuzaliwa.
Km una lolote kuhusu nabii huyu Imbangulu Msukuma wa Magu mkoani Mwanza Karibu
huyo ni mwana malundeMkuu Ibambangulu ingalikuwa ni kwa wazungu wangalimfanya kuwa mtume, alikuwa na maajabu makubwa sana, aliwahi kuweka maziwa fresh bila kuganda ndani ya miaka 3,
ndi stori ilivyo ingawa husemwa ni bibi mmoja alijigeuza kukuKuku tu kumdonoa akafariki?
Naona kama kichekesho.
Africa na Tanganyika yaani Mwl Nyerere!!Mwokozi wa Africa!!!!? serious!
Wasukuma hawajambo kwa sayansi za miuzauzanabii huyu wa kiafrika alikuwa na maajabu mengi sana likiwa pamoja na hili
alikuwa akiingia kwenye chumba alikuwa na uwezo wa kujaa chumba kizima na hii ilipelekea mauti yake ambapo siku moja alijaa kwenye chumba na nje kulikuwa na kuku mmoja aliyekuwa anatembea kutafuta chakula aliona kitu kama nyama na akadonoa kumbe ulikuwa mwili wa nabii huyu na hapo hapo mauti yalimfika nabiii wa kiafrika akafa akiwa ameacha maajabu mengi