Hili suala Pascal Mayalla aliwahi kumuuliza mwendazake.Hayo unayasema wewe. Katiba ni sheria kuu ya nchi. Hakuna aliye juu ya katiba.
Duh.Hili suala Pascal Mayalla aliwahi kumuuliza mwendazake.
Akajibiwa kuwa kuna muhimili umejichimbia chini zaidi ndio unakusanya kodi na kusimamia matumizi yake.
Haiwezekani kodi ikusanywe,wabunge walipwe mamilioni ya wananchi halafu waende bungeni kuzungumza umbeya wa mitandaoni usiokuwa na uthibitisho wowote na kuacha kujadili bajeti ya nchi!Never!
Uhuru wanao "but not to that extent!(in magufuli's voice!)😊
"Lazima tuambizane ukweri,msema kweri mpenzi wa Mungu"😂😂dah!R.i.p cde Magufuli!nimeanza kummis aisee!😊Duh.
Sasa si Bora wangekuwa wanajadili hizo hoja tatizo wanademka tu.View attachment 1756022
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100(1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100(2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.
Kuna mawili, hujasoma shule au huna akili.Yanatokea huko huko mmelishwa maneno mkaaminishwa ujinga leo mnaanza kumtafutia sababu mama watu ambaye kapewa nchi kwa mujibu wa katiba kabisa nini kinafanya mumchukie kama sio roho ya ubinafsi mliyo pandikizwa na magufuli?
magufuli kafanya mazuri kwenye ujenzi wa miundo mbinu hilo halina ubishi lakini sumu aliyo anza kuipanda kwa wafuasi wake ni mbaya sana
Magufuli Amewatengeneza wafuasi wake kuwa wazalendo kwake badala ya kuwa wazalendo kwa nchi kitu bacho nikibaya sana sana bora hata asinge jenga miundo mbinu ila akaliunganisha taifa pamoja pengine ingekuwa na afya zaid
Alikuwa mnafiki na mlaghai wa maneno sana huku anawaambia watu maendeleo hayana chama, huku anawambia msipo niletea mbunge wa ccm sileti maendeleo , huku anasema msema kweli ni mpenzi wa mungu huku anakwepa ukaguzi wa CAG kwa kukimbizia wizi wake ikulu na kwenye jeshi ,
na ukisema ukosoe pale unapo ona kakwama unapotea kama beni saa8 au unamiminiwa risasi mchana kweupee kama lissu,watu walifungwa midomo hawasemi kitu sasa wamepata uhuru wanayaongea yale waliyo zibwa midomo kuyaongea mnatulazimisha kumuenzi eti kwa mema , shit ........, hivi unanishawishi vipi wewe kwamba eti huyu mtu alikuwa ni baraka kwa watanzania kama sio ulikuwa mkosi.?
Lack of education.Hawajaingiliwa,wamekumbushwa na wameshauriwa.
Kumbuka Hayati Magufuli alisha tuambia hata kama Luna mihimili lakini tujue kwamba upo mhimili mmoja ambao umejichimbia zaidi na ndio unaowezesha mingine
Yaani ndugu kumjua mwema na mnafiki unasubiri mpaka wajadiliane hukoView attachment 1756022
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100(1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili...
NdioYaani ndugu kumjua mwema na mnafiki unasubiri mpaka wajadiliane huko
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
View attachment 1756022
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100(1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100(2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.
Kwa hiyo?Rais ni sehemu ya Bunge.
Unaelewa maana ya uhuru wa kujadili?Wanatakiwa kujadili hoja zilizowakilishw bungeni sio kujitungia hoja .Wajinga sana
Spika naye anawaangalia tu badala ya kuwashinikiza warudi kwenye hoja iliyo mbele yao.Sema tatizo na yeye mara nyingi anatoka nje ya hoja.Mama Samia yuko sahihi.Kwenye devate yeyote hata zetu zile za sekondari za kata ukiongelea unatakiwa kujikita kwenye Motion au topic husika tu.Mibunge mizima mijinga inatoka nje ya topic halafu mtu anasema ohh inaingiliwa inatakiwa iwe huru kuongea chochote!!! Lile ni bunge
Spika awaambie wenzie wajikite kwenye mada au hoja iliyowakilishwa tu.Tusije siku ingine tukazingira bunge tukawazomea na kuwaambia watoke wote
Ni kujadili kilichoko bungeni kilicholetwa kama hoja sio kupngea ongea tu kama mtu yuko kwenye kikao cha wanywa gongoUnaelewa maana ya uhuru wa kujadili?
Ni kweli hatuna haki ya kuwaingilia, ila tunayo haki Kikatiba ya kuwashauri au kutoa maoni yetu kwa ajili ya wao kuyafanyia kazi kama wataona kuwa yanafaa. Wapo Bungeni kwa ajili yetu, ni sisi tuliowatuma. Kwa hali hiyo, Rais naye pia bado anaendelea kuwa mwananchi wa kawaida wa JMT na mwenye haki hiyo hiyo ya kutoa maoni yake kama wewe na mimi tunavyoweza kufanya
Imetamkwa wazi kabisa wabunge wapo huru kujadili hoja na mijadala mbalimbali bila kuingiliwa na mtu au mhimili wa dola. Ipo wazi katika ibara ya 100 (1) kwa hiyo sioni haja ya kuwapangia nini cha kujadili.
Ibara ya 100 (2) imepigia mstari kabisa kuwa wabunge hawatashitakiwa kwa chochote watakacho jadili wakiwa bungeni.
My take; tuwaache wajadili na kufunguka ili tujue nani ni mwema na nani ni mnafiki.