Mtemi02
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 319
- 221
Pia katiba imetamka kila mtu yupo huru kutoa mawazo/maoni yake, hivyo katiba inaruhusu watu kutoa maoni juu ya mwenendo wa bungeMkuu ibara ya 100 imetamka hivyo. Habari ya malipo yao mimi sijui. Sasa kama wewe upo juu ya katiba sawa.
Hivyo usitufunge midomo