Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
19 Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.Ongeza Luka 10:19
Kwa hio hizo sehemu hazipo Ila tunatishana tu si ndio Mtumishi usiekusanya Sadaka Injili ni bureHii siku njema sana itatupandisha sote humu!!! Natural laws hazibishaniwi na yoyote asiye mhafidhina(Hilo andiko unalolijengea hoja kalifanyie tafiti, liliandikwa na nani, lini, wapi then come with it)
Yaani mpka leo hutaki kujua kwamba Bible siyo neno la Mungu pekee na maneno ya watu yapo humo ndani..
Imani isikufanye ukwepe wajibu wa kujua facts zake. Lazima tuheshimu Imani za watu wengine Lakini Hilo halizuii kuwa na mitazamo tofauti na wao.
Sasa unaambiwa tutaenda MBINGUNI,mbinguni ni wapi, au motoni, motoni ni wapi, kama mfano tu
25 Hata wakati wa zamu ya nne ya usiku Yesu akawaendea, akienda kwa miguu juu ya bahari.Unaweza kuniambia kwanini Petro alipoingia ndani ya maji alianza kwa kutembea juu ya Maji alipoona wimbi kubwa linakuja akamwita Yesu "Bwana nazama" na akazama kweli, kwanini?
Ngoja tusogee tunaweza kukubali kuto kukubaliana:Sasa hapo wewe ndiyo umejenga hoja gani?
Nakwambia hivi, umeandika uongo na ujinga.
Dunia ilikuwepo kabla ya hao unaowaita wanadamu.
Nimekuwekea mpaka miaka ya dunia na ya hao unaowaita wanadamu, nimefanya utafiti ndiyo maana nikaweka namba.
Wewe umeandika mambo kijingajinga tu.
Ukibisha, weka hoja kwa namba hapa, umri wa dunia na umri wa hao unaowaita wanadamu.
Tulinganishe namba zako na nilizoweka mimi.
Seriously wewe nawe una support ujinga huu kwamba wanadamu wamekuwapo kabla ya dunia?Hata namba zinaweza kua zimetoka kwa waongo mbona,maana we mwenyewe unasoma mahala ndo unakuja kuleta namba,we mwenyewe hukuwepo pia,yamkini ungesema huamini yote na hauna hakika ya mambo yote maana we mwenyewe unajifikirisha,ila kutupa uhakika huwezi,unaleta uhakika kwa kujaribu kusoma soma vitabu ama ku google,vitu ambavyo vilitokana na binadamu hawa hawa ambao na wao kwa miaka mingi yamkini walidanganya,so ni afadhari kupiga kimya maana mambo ya imani yanaweza kua na kitu nyuma ya pazia tusicho kijua,kwa hivyo mtu kujifanya anajua na amezaliwa majuzi tu hapa ni kujidanganya
Dunia ilikuwepo kabla ya hao unaowaota wanadamu na hivyo haiwezi kuwa mifumo ya wanadamu, huelewi wapi?Ngoja
Ngoja tusogee tunaweza kukubali kuto kukubaliana:
Numbers ni LUGHA, numbers ni utimilifu, ujinga nao ni LUGHA kwa mwelevu.. Mimi siishi kwa watu wanachosema naishi kwa akili na utashi, hivyo vinaona nini Katika jambo Fulani.
Dunia ni jumla ya mifumo yote iliyowekwa na wanadamu, tangu kuweko kwake Ili waweze kutawala. Lakini Hilo limeshindikana that's why hatuwezi kuabide na sheria za Asili za ulimwengu wa Mungu(super power)
Ujinga wangu unaweza kuwa chachu ya kufikilisha wenye utayari wa kupokea mambo mapya au Fikra mpya....is the matter of time.
(Your numbers can not be proven anyhow) Remaining as a white people literature
Kuna mahala hatuwezi kuelewana ndugu yangu. The totality of creation called universe and the system managing this universe called Earth.Dunia ilikuwepo kabla ya hao unaowaota wanadamu na hivyo haiwezi kuwa mifumo ya wanadamu, huelewi wapi?
Unataka kuleta uongo gani hapa?
Dunia ilikuwapo kuanzia miaka bilioni 4.54 iliyopita.Kuna mahala hatuwezi kuelewana ndugu yangu. The totality of creation called universe and the system managing this universe called Earth.
Ndugu! Mabadiliko ya LUGHA na mvurugo mzima ulianzia mahala ,hasa kwa mgiriki baada ya kuja Kemet (Afrika ya Leo)
SawaNiwasalimu ndugu zangu!
Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha.
Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa yote. Unaweza kuita (ulimwengu ni uumbaji wa Mungu)
Tunaishi hapa ulimwenguni kwa sababu maalumu,pia hatutaendelea kuishi Katika ulimwengu huu na Mwili huu maana sababu za kuendelea kuwa na Mwili huu wa nyama zitakuwa zimeisha(Ukipata wazo lifanyie kazi Leo kesho ni hadithi)
Dunia inaongozwa na watu wenye akili kubwa,hurithisha vizazi vyao vyenye akili kubwa pia, Ili kuendelea kupata sifa na faraja ya muda mfupi, afadhari kuwa na faraja hapa kuliko kusubili faraja ya kesho ambayo ni jambo la kufikilika (itumie akili Yako kama MTU mwenye akili,Dunia Haina fear na mjinga)
Muda na sababu ndiyo msingi wa wewe na Mimi kuwepo kwa wakati huu Katika frecuency hii ya Mwili unaoshikika, mwanadamu ni cel, mwanadamu ni mawimbi, mwanadamu ni nguvu, mwanadamu ni Mungu (hakuna MTU mwenye mwili asiye na uungu ndani yake, uungu ni nguvu ya kufanya)
Time/Muda ni nini? Muda unakosa maana kama hakuna sababu, sababu ndiyo msingi wa muda, sababu ni maulizo na majawabu ya maulizo, mfano! Nani alisema iwe jumatatu,jumanne ,nani alisema Ili iwe saa moja ni lazima ziwe dk 60?. Concepts za watu zikikosa mbadala zilizopo zinapata makao ya kudumu moyoni na akilini. (Vitabu vya Dini siyo vitabu vya historia halisi ya matukio ya ulimwengu, vyenyewe ni fasihi za kutungwa)
Usiwaze kuhusu mbingu (heaven )na kuzimu, (hell) hizo zote ni story za kutishana tu. Waza kuhusu uwezo wako wa kuwa na furaha,kuwafanya wengine wawe na furaha, zaidi kufanya viumbe wengine waishi kwa uhuru kwa kadri ya sheria ya Asili. (Hapa tulipo tunaletwa kwa kazi maalumu, kama unaota au unaona maono yazingatie)
Viungo vyako vikiacha kushirikiana kwa sababu yoyote Ile, viungo vyote vinarudi ardhini kuendeleza rutuba, Ili vizazi vingine viendelee kuishi, kwa hiyo hata KIFO chenyewe ni concept ya MTU.. haiwezekani wewe ubebe DNA (kumbukumbu)ya baba Yako na mama Yako then uje useme ni KIFO, people are still living ndani Yako. So..if we're created by God, which I blv ... lazima Ako ndani yetu...(Don't be fooled by books, where's your mind)
NIMALIZE kwa udogo!! Ulimwengu Unapata maana kama vitu vinaenda kinyume. Juu ipo chini, kulia ipo kushoto. Moto ipo baridi... Dunia ibishie Lakini siyo ulimwengu
*Hakuna mfano nyuma ya mfano, nyama ya mfano Kuna Imani)
IPE KAZI AKILI
Hicho kilichokuwepo kabla ya mwanadamu ni ulimwengu au Dunia...au unajua Dunia na ulimwengu ni kitu KIMOJA.. ndugu yanguDunia ilikuwapo kuanzia miaka bilioni 4.54 iliyopita.
Watu wameanza kuwapo miaka 300,000 iliyopita.
Dunia ina umri wa zaidi ya mara 15,133 kulinganisha na umri wa watu kuwapo (4.54 billion years versus 300,000 years).
Hivyo, habari ya kusema dunia ni mifumo ya binadamu ni uongo.
Ukiuangalia umri wa watu kuwapo duniani kama asilimia ya umri wa dunia, basi unaongelea 0.0000660793%
Miaka 300,000 ambayo watu wamekuwapo duniani ni 0.0000660793% ya umri wa dunia 4.54 billion years.
Sasa hapo unasemaje dunia ni mifumo ya binadamu wakati dunia imekuwapo kwa muda wa 99.9999339207% bila ya wanadamu kuwapo?
Unaelewa hoja? Au unabisha tu?
Dunia ilikuwepo kabla ya huyo unayemwita mwanadamu.Hicho kilichokuwepo kabla ya mwanadamu ni ulimwengu au Dunia...au unajua Dunia na ulimwengu ni kitu KIMOJA.. ndugu yangu
UCHAWI Tena!!!!!! Deep down unajua ndugu yangu,kwamba ulimwengu siyo Dunia na Dunia siyo ulimwengu...no matter numbers baada ya input ya mwanadamu kwenye huu ulimwengu ndiyo ikaitwa DUNIA...have a good day nduguDunia ilikuwepo kabla ya huyo unayemwita mwanadamu.
Mimi nimekuwekea namba za kisayansi.
Weka sources zako za kichawi kuonesha tofauti.
Maana hapa naona kilichobaki ni kutuleta habari za uchawi tu.
UCHAWI Tena!!!!!! Deep down unajua ndugu yangu,kwamba ulimwengu siyo Dunia na Dunia siyo ulimwengu...no matter numbers baada ya input ya mwanadamu kwenye huu ulimwengu ndiyo ikaitwa DUNIA...have a good day ndugu
Umetumia Mafuta ya upako na Maji? Una kesi ya kutengwa na ndugu zako wanakuita mchawi?Mwanadamu ni mungu Tena!!!!!!?
🙌🙌🙌🙌Niwasalimu ndugu zangu!
Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha.
Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa yote. Unaweza kuita (ulimwengu ni uumbaji wa Mungu)
Tunaishi hapa ulimwenguni kwa sababu maalumu,pia hatutaendelea kuishi Katika ulimwengu huu na Mwili huu maana sababu za kuendelea kuwa na Mwili huu wa nyama zitakuwa zimeisha(Ukipata wazo lifanyie kazi Leo kesho ni hadithi)
Dunia inaongozwa na watu wenye akili kubwa,hurithisha vizazi vyao vyenye akili kubwa pia, Ili kuendelea kupata sifa na faraja ya muda mfupi, afadhari kuwa na faraja hapa kuliko kusubili faraja ya kesho ambayo ni jambo la kufikilika (itumie akili Yako kama MTU mwenye akili,Dunia Haina fear na mjinga)
Muda na sababu ndiyo msingi wa wewe na Mimi kuwepo kwa wakati huu Katika frecuency hii ya Mwili unaoshikika, mwanadamu ni cel, mwanadamu ni mawimbi, mwanadamu ni nguvu, mwanadamu ni Mungu (hakuna MTU mwenye mwili asiye na uungu ndani yake, uungu ni nguvu ya kufanya)
Time/Muda ni nini? Muda unakosa maana kama hakuna sababu, sababu ndiyo msingi wa muda, sababu ni maulizo na majawabu ya maulizo, mfano! Nani alisema iwe jumatatu,jumanne ,nani alisema Ili iwe saa moja ni lazima ziwe dk 60?. Concepts za watu zikikosa mbadala zilizopo zinapata makao ya kudumu moyoni na akilini. (Vitabu vya Dini siyo vitabu vya historia halisi ya matukio ya ulimwengu, vyenyewe ni fasihi za kutungwa)
Usiwaze kuhusu mbingu (heaven )na kuzimu, (hell) hizo zote ni story za kutishana tu. Waza kuhusu uwezo wako wa kuwa na furaha,kuwafanya wengine wawe na furaha, zaidi kufanya viumbe wengine waishi kwa uhuru kwa kadri ya sheria ya Asili. (Hapa tulipo tunaletwa kwa kazi maalumu, kama unaota au unaona maono yazingatie)
Viungo vyako vikiacha kushirikiana kwa sababu yoyote Ile, viungo vyote vinarudi ardhini kuendeleza rutuba, Ili vizazi vingine viendelee kuishi, kwa hiyo hata KIFO chenyewe ni concept ya MTU.. haiwezekani wewe ubebe DNA (kumbukumbu)ya baba Yako na mama Yako then uje useme ni KIFO, people are still living ndani Yako. So..if we're created by God, which I blv ... lazima Ako ndani yetu...(Don't be fooled by books, where's your mind)
NIMALIZE kwa udogo!! Ulimwengu Unapata maana kama vitu vinaenda kinyume. Juu ipo chini, kulia ipo kushoto. Moto ipo baridi... Dunia ibishie Lakini siyo ulimwengu
*Hakuna mfano nyuma ya mfano, nyama ya mfano Kuna Imani)
IPE KAZI AKILI
Dunia =Earth is the only planet that support life......Kwani wapi nimesema ulimwengu ni dunia?
Twende polepole.
Ulimwengu ni nini na dunia ni nini? Unaweza kutaja kwa kiingereza dunia ni nini na ulimwengu ni nini?